Uzuri na ukubwa wa Jiji la Nairobi


Yaan hesabu ni janga la dunia yaan hata hesabu ndogo kama hizo hajui inasikitishana sana
 

Duu hesabu ni common disease hivi unajua 32 km square inachukuwa ukubwa upi ? au unaropoka
 
umeambiwa Nairobi Metro. inaonekana hata shuleni ulikuwa mweupe kichwani.
Nairobi Metro area is 32,000sqkm
 
tatizo ni kuwa dar is slum kama jiji bado halijajengwa vya kutosha. sijawai sikia dar is slum metro. papo hapo ndani ya jiji la dar is slum bado utakuta misitu na mashamba kama kijijini vile. watu wanaishi kana kwamba bado wako mashambani wanalima miwa na mihogo.
 
Kila mtu anajua kenya ni headquarter za slums Africa [emoji23][emoji23][emoji23]
Slum kila kona kila county.

 
AreaCountyArea (km2)Population
Census 2017
Cities/Towns/Municipalities in the Counties
Core NairobiNairobi County694.9
4,000,000​
Nairobi
Northern MetroKiambu County2,449.2
1,623,282​
Kiambu, Thika, Limuru, Ruiru, Karuri, Kikuyu, Ruaka, Kahawa and Githunguri
North Eastern MetroMurang'a County2,325.8
942,581​
Gatanga, Kandara, Kenol/Kabati, Murang'a
Southern MetroKajiado County21,292.7
687,312​
Kajiado, Olkejuado, Bissil, Ngong, Kitengela, Kiserian, Ongata Rongai
Eastern MetroMachakos County5,952.9
1,098,584​
Kangundo-Tala, Machakos, Athi River
TotalsNairobi Metro32,715.5
7,490,128​
 
Where has JF got all these deliquescence starting nonsensical threads left right and centre.Hawana cha kufanya majibwa kama hayo?
Imagine somebody starting a thread to expose their ignorance?
 
Kabla ya kuanza ubishi wa kipuuzi ungejielimisha kuhusu Metropolis, metropolitan na vitu kama hivyo. Sina la ziada.
Wai Uhuru park haraka sana !!! Nimara ngapi tumewaambia kuvutia bangi chooni ni hatari cheki sasa bado mnaendelea kuvutia bangi kibera !! The yujiii toiletiii
 
Nadhani alimaanisha 3,200 sq. km. Shida ya wabongo kosa la typing error mtaligeuza kuwa ndicho kinachojadiliwa.
Hiyo ya kuongeza mipaka hata sisi tunaweza tena tukafanya dar es salaam kubwa 50000 km sq feki thing ukweli ni kuwa Nairobi ni ndogo unajulikana dunia nzima ndiomaana wote wageni wanao kuja mijiyete wanaitaja Dar kuwa ni jiji kubwa wala siyo Nairobi
 
Hiyo ya kuongeza mipaka hata sisi tunaweza tena tukafanya dar es salaam kubwa 50000 km sq feki thing ukweli ni kuwa Nairobi ni ndogo unajulikana dunia nzima ndiomaana wote wageni wanao kuja mijiyete wanaitaja Dar kuwa ni jiji kubwa wala siyo Nairobi
Wow , this is your complete ignorance showing kuonyesha kweli wewe hauna elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…