johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ukisikiliza wanavyochambua Magazeti na kuwaponda Watumbuliwa wa hivi karibuni huwezi amini kama Nape alikuwa Boss Wao juzikati tu na walimtukuza sana
Ni vema hawa Watangazaji wa Kuigiza wakaweka Akiba ya Maneno
Ni hilo tu
Ahsanteni Sana 😂
Ni vema hawa Watangazaji wa Kuigiza wakaweka Akiba ya Maneno
Ni hilo tu
Ahsanteni Sana 😂