Uzuri wa Comedy journalism Unasifiwa ukiwa na Cheo na Unapondwa Ukitumbuliwa, Kitenge na Zembwela ni kama sasa hawawajui Nape na January!

Uzuri wa Comedy journalism Unasifiwa ukiwa na Cheo na Unapondwa Ukitumbuliwa, Kitenge na Zembwela ni kama sasa hawawajui Nape na January!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ukisikiliza wanavyochambua Magazeti na kuwaponda Watumbuliwa wa hivi karibuni huwezi amini kama Nape alikuwa Boss Wao juzikati tu na walimtukuza sana

Ni vema hawa Watangazaji wa Kuigiza wakaweka Akiba ya Maneno

Ni hilo tu

Ahsanteni Sana 😂
 
Ukisikiliza wanavyochambua Magazeti na kuwaponda Watumbuliwa wa hivi karibuni huwezi amini kama Nape alikuwa Boss Wao juzikati tu na walimtukuza sana

Ni vema hawa Watangazaji wa Kuigiza wakaweka Akiba ya Maneno

Ni hilo tu

Ahsanteni Sana 😂
Hao machawa wanafki tu wanakwenda na upepo
Hawana lolote chawa anakusifia pale unapokuwa na nafasi

Ova
 
Back
Top Bottom