Pedeshee212
Member
- Apr 2, 2024
- 30
- 48
Watu wengi kulalamika na kufikia hatua ya kuchukia makazi Yao wakidai,
1. Mbona nyumba yangu sio nzuri Sana?
2. Mbona nyumba Ina joto kubwa Sana?
3. Mbona hewa inayopatikana ni kama Ina vumbi au sio nzuri kama ya kwa fulani?
4. Mbona nakosa hata sehemu ya kupumzikia nje walau nipunge upepo?
MASWALI YOTEEE majibu yake ni kwamba, ulipenda kile ulichoona unakipenda ndo maana unateseka kupenda cha wengine. NIKUSHAURI, Tumia eneo dogo kwa ajili ya paving stone, na eneo kubwa, weka GARDEN.
GARDEN Ndio suruhisho La maswali yako yote. Natamani nikuelezee kwa hisia kali ili ujue utamu wa kuwa na garden nyumbani kwako. Ila ukinipigia, nitakuelezea: 0714693107
View attachment 3196359View attachment 3196357View attachment 3196358View attachment 3196356
1. Mbona nyumba yangu sio nzuri Sana?
2. Mbona nyumba Ina joto kubwa Sana?
3. Mbona hewa inayopatikana ni kama Ina vumbi au sio nzuri kama ya kwa fulani?
4. Mbona nakosa hata sehemu ya kupumzikia nje walau nipunge upepo?
MASWALI YOTEEE majibu yake ni kwamba, ulipenda kile ulichoona unakipenda ndo maana unateseka kupenda cha wengine. NIKUSHAURI, Tumia eneo dogo kwa ajili ya paving stone, na eneo kubwa, weka GARDEN.
GARDEN Ndio suruhisho La maswali yako yote. Natamani nikuelezee kwa hisia kali ili ujue utamu wa kuwa na garden nyumbani kwako. Ila ukinipigia, nitakuelezea: 0714693107