Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
Ni kuongeza maujuzi hamna namna ila sio limbwata maana ikidunda unatoka kapasasa tuliozidiwa tunafanyaje kuendana na kasi ya uhitaji
ujuzi upi sasaNi kuongeza maujuzi hamna namna ila sio limbwata maana ikidunda unatoka kapa
Hata kuibania kwa ndani ina matter mengine ntakuelekeza inboxujuzi upi sasa
Kuna facts lazima tuzielewe tunapoingia kwenye ndoaUzuri wa mwanamke ni muonekano wake[emoji817]
Kama uzuri wa mwanamke ungekuwa maumbile yake ya ndani basi wanaume wangeridhika na mwanamke mmoja kwa sababu moja tu :- [emoji830] mwanaume hafiki kileleni kwa ubora wa maumbile ila kwa hisia zake.
Hapo ndipo maana ya upendo wa mwanaume hutoweka maana yeye hajui kutofautisha uzuri wa mwanamke na utamu wa mwanamke kwa hakika kwa mwanaume kila mwanamke ni mtamu maana hakuna mwanaume alishindwa kufika kileleni kwa maumbile mabaya [emoji23][emoji23][emoji23] maana yeye huendeshwa na hisia zake wakati mwanamke ambaye yeye ili aweze kufurahia mapenzi ni pale nafsi yake inapokuwa na utulivu maana yake yeye hufuata moyo [emoji178] wake [emoji23] [emoji23]
Ukiona mwanaume ametulia na mwanamke mmoja ujue kampendea muonekano wake [emoji817]. Mambo ya maumbile [emoji105] pamoja na mauno [emoji126] kama yangemtuliza mwanaume basi kuna wanawake wangekuwa na hakika ya kutosalitiwa ila kwa sasa omba mungu umpate mwanaume atakayevutiwa na jinsi ulivyo kuliko kama atakupenda kwa yaliyoko sirini hawakawiii wanaume.
Hahahaha daahinabidi utamu uambatane na maelezo ili nikisikia mtamu nijue ni utamu kwa maana ipi
Vyote na viwe balanced. Ni sawa na mapishi kadri unavyo tumia viungo vingi kwa kuzingatia vipimo vinavyo stahili ndivyo kadri unavyozid kupata ladha nzuriHivi kwa mwanamke utamu ni nini? k kubana kama mfuniko wa spido, viuno vya kimakonde? kujua kulilia dudu la yuyu, k kupiga makofi au iz ze kombineshen?!!
Mrembo hayo yote ni kwa sababu mna kitu tamu Kila wakati watu wanawashwawashwa hawawezi kunyamaza. Ringa kwa Hilo.Wanawake tunapitia magumu sana, haipiti siku hatujavuliwa nguo 'tukadiskasiwa'..!
Haya mambo Mimi niliona hayana ujuzi, ni asili tuu mtu asikudanganye hata wanaojiuza hawajapata ujuzi Hadi leo ndo maana watu wananunua hawarudi.ujuzi upi sasa