Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 214
unawashari nini madada zetu
Broda! Hata ukiwashauri vipi... Watajikoroga kwa kujificha. Muhimu anayeelewa.. AACHE kutumia MKOROGO. Siomzuri kwa afya! Inawezekana vipp mtu ukawa mweupe usoni lakini miguu myeusi kama KIWI?
hahaaaaaHalafu na wewe bht una Bahati sana.Unawafanya watu wengi wakuige kumbe wewe kanachuro bana.
Mambo ya mgomo! Sitaki mahututi wa mgomo banaDearest, cheka tu maana kila kukicha bora jana, leo mambo ya mbayuwayu ndo hivo...
tena hao wa 'ngwasuma' (wote mi nawaita ngwasuma tu hata fm akademia sijui) ndo wenyewe....kama mapapai vile
mambo gani unaulizia?? leo utapokea wgonjwa wengi tu ICU we subiri
Kweli una akili sana,unafaa hata kuwa waziri wa ajira na kazi labda ungeleta majibu kwa wafanyakazi.Aisee Black is beauty,haifojiki kirahisi.Hadi wachina wamechemsha?????!!!!!!hahaaaaa
ntafuta na mi yakunifanya niwe na ngozi kama yako charity, wachina naona wameshindwa kutengeneza hiyo.
sasa hapo ndo tungetumia akili kutambua jinsi gani ngozi nyeusi ilivo na thamani...hata haifojiki, lakini wapiiiiiiiii bongo lala!!!
Kweli una akili sana,unafaa hata kuwa waziri wa ajira na kazi labda ungeleta majibu kwa wafanyakazi.Aisee Black is beauty,haifojiki kirahisi.Hadi wachina wamechemsha?????!!!!!!
unataka kusema naweza kumzidi hata mzee wa Mbayuwayu au sio????
zamani nilikuwa nafikiri wanaojichubua ni wale wasio na elimu, waswahili swahili dizaini...lakini kumbe I was so wrong loh!!!
Kama mabinti wote wangekuwa hvyo ingekua poa, but 2 day, wizi mtupu, mkorogo umekisili.
Lakini mie naona tatizo lipo hasa kwa WANAUME.Wanaume wengi wanabeza wanawake natural kwa kuwaambia eti'hawajui kuoga'Hii ndio inawafanya wadada wajichune ili wapendwe(sina maana kuwa ni kitu kizuri).Wanaume mkibadilika na kuwa wazalendo na wanawake nao watabadilika.
mi sijichubui sina mpango na ni mweusi.........wanawake wanaojichubua sijui wakoje mashavu mekunduuu.....mikono imewalepeta aaaaaaaaaaah mmmmmmmmmmm aaaah ahhha......vidole na makwapa utafikiri walipaka rami ngozi y agoti haichubuki basi weeee
mabina vipi apo umeandika kikwenu au mrembo Charity kakuchanganya? huyo ana 'mtu' tayari
kwani kujicream kuna tatizo gani? I will not sit here an lie to u eti situmii creams...I use creams that helps my facial skin to look soft and glowing... kuna moisturizing cream, anti wrinkles creams anti acne creams...night creams, day creams etc
Hahahahahahaaaa.shemeji upo kweli? mie nina wasiwasi sana juu yako.Nahisi kama nimekupoteza vile.Nashangaa leo umeibukia toka wapi au ndio jana walikukatalia kuingia kwenye hotuba ya mh wakati na wewe ni 'mzee'?
Kaizer akizuiwa kuingia Diamond????
B hakuwa siriaz, angekanyaga hilo kapeti na hizo ndula zilizo beba tope la jangwani??
watu mna vituko mpaka bac, nimecheka sana.....
kwani kujicream kuna tatizo gani? I will not sit here an lie to u eti situmii creams...I use creams that helps my facial skin to look soft and glowing... kuna moisturizing cream, anti wrinkles creams anti acne creams...night creams, day creams etc