Uzushi/upotoshaji kuhusu ujasiriamali

Nikuullz kujaribu na kufanya hapo unaoona pana tafautti gani???kujaribuu nj kufanyya mojakwamoja
 

Kauli za kujaribu ni za mtu asiejiamini na hajui analolifanya.

Kiukweli huwa inanishangaza kusikia mtu akisema nataka kujaribu biashara fulani, nabaki najiuliza tu kwanini kuoa huwa hawatoi mahali nusu kwamba anaenda kujaribu???
 
Umenena vyema mkuu!

"if you are not stubborn, you'll give up on experiments too soon.. And if you are not flexible, you'll pound your head against the wall and you wont see a different solution to a problem you are trying to solve.." J. Bezos
Word mkuu
 
Mm nilianza na 150000 ila kwa sasa huwezi amini ujasirimali unataka utoke ndani ya moyo wako na usisukumwe na nikweli muda wa kufanya kazi nizaidi ya masaa 16 mm kilicho kuwa kina nisukuma nielimu yangu ndogo sasa nikasema lazima nijitume ili wote tukae VIP na nimefanikiwa kwa ilo asante ujasiriamali

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Chief Msoka, hongera kwa kazi nzuri, jitihada haijawai kumuacha mjasiriamali salama..ni lazima utoboe tu!

Na kamwe huwezi kudanganya mafanikio, masaa na jitihada unazowekeza kwenye kazi yako ndiyo yatakayokupa mafanikio.

Keep grinding boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…