Nikuullz kujaribu na kufanya hapo unaoona pana tafautti gani???kujaribuu nj kufanyya mojakwamojaNashukuru sana ndugu.
Kuna jambo nimeliona katika uchangiaji wa watu wengi kwenye hii nyuzi, swala la "KUJARIBU" kwa namna ninavyoelewa na siku zote ambazo nimekuwa nikiishi tangu kupevuka kwangu kiakili, siamini katika jambo linaitwa KUJARIBU.
Siku zote ninaamini katika KUFANYA na sio kujaribu. Mara zote huwa ninasema "Mafanikio ni kwa wale tu WANAOTHUBUTU NA KUFANYA na sio WANAOTHUBUTU NA KUJARIBU". Siku zote hiyo ndiyo kauli mbiu yangu
Nashukuru sana ndugu.
Kuna jambo nimeliona katika uchangiaji wa watu wengi kwenye hii nyuzi, swala la "KUJARIBU" kwa namna ninavyoelewa na siku zote ambazo nimekuwa nikiishi tangu kupevuka kwangu kiakili, siamini katika jambo linaitwa KUJARIBU.
Siku zote ninaamini katika KUFANYA na sio kujaribu. Mara zote huwa ninasema "Mafanikio ni kwa wale tu WANAOTHUBUTU NA KUFANYA na sio WANAOTHUBUTU NA KUJARIBU". Siku zote hiyo ndiyo kauli mbiu yangu
Nadhani umejibiwa vyema hapo juu.Nikuullz kujaribu na kufanya hapo unaoona pana tafautti gani???kujaribuu nj kufanyya mojakwamoja
Akhsante sana mkuu, nimefarijika sana kwa compliments toka kwako... Tunapambana hakika tukiwa na clear vision ya siku za usoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Word mkuuUmenena vyema mkuu!
"if you are not stubborn, you'll give up on experiments too soon.. And if you are not flexible, you'll pound your head against the wall and you wont see a different solution to a problem you are trying to solve.." J. Bezos
Mm nilianza na 150000 ila kwa sasa huwezi amini ujasirimali unataka utoke ndani ya moyo wako na usisukumwe na nikweli muda wa kufanya kazi nizaidi ya masaa 16 mm kilicho kuwa kina nisukuma nielimu yangu ndogo sasa nikasema lazima nijitume ili wote tukae VIP na nimefanikiwa kwa ilo asante ujasiriamali
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteChief Msoka, hongera kwa kazi nzuri, jitihada haijawai kumuacha mjasiriamali salama..ni lazima utoboe tu!
Na kamwe huwezi kudanganya mafanikio, masaa na jitihada unazowekeza kwenye kazi yako ndiyo yatakayokupa mafanikio.
Keep grinding boss