Uzushi wa kifo cha meja kunta

UKIISHA JIONA UNASIKA RADIONI, UNAZUNGUMZWA KWENYE SOCIAL MEDIA. BASI UNAJIONA MAARUFU KIASI UNAJITATHIMIN KWA KUZUA KIFO CHAKO ILI WATU USIKIE WATASEMAJE!!!!

HAPA NDIPO UNAKUTA MTU JINA KUBWA LAKINI ANA NJAA ZAIDI.
 
Siku hizi ukifika cheo cha meja, huwekewi vyeo begani Bali wanachana suruali yako magotini.

Ndio maana mameja wengi ni waendesha bajaji na waimba sengeli.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila kusahau na mabodaboda nao ni mameja
 
yaan cjui hata anachoimba ndo kwaanz nmemjua hyo jana baada ya kuzushiwa kifo,n upuuzi sanaaaaa kutafuta kik za kumdhihaki Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…