V.A.R Kutumika Kwa Mkapa hivi karibuni

V.A.R Kutumika Kwa Mkapa hivi karibuni

Mbobo

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2017
Posts
1,392
Reaction score
1,818
Shirikisho la mpira wa Miguu barani Afrika CAF limepanga wiki ijayo kuvitembelea viwanja vyote vitakavyotumika kwenye michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kuona uwezekano wa kuvifanyia majaribio ya Teknolojia ya VAR.

Awali technilojia hiyo ilikuwa ikitumika kwenye mchezo wa Fainali tu ila mwaka huu CAF wataitumia kuanzia michezo ya Robo Fainali.
 
Tuwaombe watuachie tuitumie machi yetu na upotolo maana wamezidi kubebwa na marefa halafu wao ndio wa kwanza kulalamika
 
Varinyo au valita[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom