We Sam acha uongo walokole walikutapeli niniKuna kitu kinaitwa haiba inajumuisha mwonekano, uongeaji wa MTU, fikra za mtu, uvaaji na yote yanayohusu mtu has a kwa nje na kidogo sana kwa ndani.
Walokole kutokana na mapokeo yao na haiba yao wengi wamejikuta wakivaa namna hiyo.
Hats ukaaji wao kanisani ni wa kipekee bila kusahau uswahili na utapeli.
Ntaongeza nyama muda c mrefu
Zamani walikuwa wanapenda Nokia tochi ile toleo baada ya Nokia jenezaNa simu zao kwa sasa.-wanaume ni hizi redio zenye simu,inapiga choir na mahubiri ya nabii kama yote kwa nguvu.
Wanawake-wana tecno na itel zilizopasuka screen.
[emoji1581][emoji1581][emoji1322][emoji3603][emoji1322][emoji3603][emoji1322][emoji3603]
Huendi mbinguni ng`ooooooo!Kwakweli walokole wanaume hinifurahisha sana vaa yao.
Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za kushonesha za kitambaa cha kung'aa. Zamani walikuwa wanashona suruali pana kupitiliza chini. Akivaa tai basi katakua kafupi kanene na kakung'aa vilevile.
Viatu wanapenda vyeupe, cheusi au vya rangi mbili. Kiatu kimechongoka kina rangi nyeupe na nyeusi.
Makoti wana ya aina nyingi. Kuna yale makubwa siku hizi hawavai sana, linakuwa linafika magotini. Unakuta nalo upande mmoja jekundu na ungine jeupe au jeusi. Kuna yale yanakuwa na viraka kwenye viwiko na mengine ya kawaida tu ila yanakuwa yanang'aa kama bati.
Ila jamaa huwa wacheshi sana.
Ndio tunaulizana mwaya. Na JINA wanasema CHINAHahaha nimecheka sana. Kuna uhusiano gani kati ya ulokole na nguo za kung'aa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio tunaulizana mwaya. Na JINA wanasema CHINA
Unatusingizia wasukuma, hizo pigo za wanyakyusaunawasingizia walokole..!!Hizo pigo wasukuma ndo wanavaa
HahahahahahahahahaNdio tunaulizana mwaya. Na JINA wanasema CHINA
Labda wanakwaya wanaoenda kushuti ndo wanapenda nguo hizoHahaha nimecheka sana. Kuna uhusiano gani kati ya ulokole na nguo za kung'aa?
[emoji2][emoji2][emoji2]Zamani walikuwa wanapenda Nokia tochi ile toleo baada ya Nokia jeneza
Huyu sio mlokole, hii Picha ilipigwa Uganda mmiaka kadhaa nyuma Siku ya Valentine
Yaani kuanzia mwanzo hadi mwisho naishia kucheka tuKwakweli walokole wanaume hinifurahisha sana vaa yao.
Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za kushonesha za kitambaa cha kung'aa. Zamani walikuwa wanashona suruali pana kupitiliza chini. Akivaa tai basi katakua kafupi kanene na kakung'aa vilevile.
Viatu wanapenda vyeupe, cheusi au vya rangi mbili. Kiatu kimechongoka kina rangi nyeupe na nyeusi.
Makoti wana ya aina nyingi. Kuna yale makubwa siku hizi hawavai sana, linakuwa linafika magotini. Unakuta nalo upande mmoja jekundu na ungine jeupe au jeusi. Kuna yale yanakuwa na viraka kwenye viwiko na mengine ya kawaida tu ila yanakuwa yanang'aa kama bati.
Ila jamaa huwa wacheshi sana.
Iringa wanapatikana sehemu inaitwa dabaga yaan wanvaaga mashati ya purple, orange halafu ya satin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mm nimeishi nao miaka dahari unaweza jiuliza hv huyu mzima?[emoji23][emoji23][emoji23] hao bado wapo iringa na mbeya utacheka ufe..trauza ukiangalia haraka ova sketi !panaaa...alafu kitambaa kinang'aa zaman nilikua na picha kbs dah [emoji23][emoji23][emoji23]sinazo...
DahNa simu zao kwa sasa.-wanaume ni hizi redio zenye simu,inapiga choir na mahubiri ya nabii kama yote kwa nguvu.
Wanawake-wana tecno na itel zilizopasuka screen.
[emoji1581][emoji1581][emoji1322][emoji3603][emoji1322][emoji3603][emoji1322][emoji3603]
😂😂😂mtoto wa baba ww mie nacheka.had kichwa kinauma..ww wawajua aisee yaan dah..hahahahahahah..wapo wengi sana pande hizo😂😂 yaan utacheka ufe....alafu trauza wanasimamisha marinda hatari tupuIringa wanapatikana sehemu inaitwa dabaga yaan wanvaaga mashati ya purple, orange halafu ya satin
Sent using Jamii Forums mobile app