Vaa ya walokole hunifurahisha sana

[emoji23][emoji23][emoji23]mtoto wa baba ww mie nacheka.had kichwa kinauma..ww wawajua aisee yaan dah..hahahahahahah..wapo wengi sana pande hizo[emoji23][emoji23] yaan utacheka ufe....alafu trauza wanasimamisha marinda hatari tupu
Hahahahahaahahahah yaani suruali kama mfuko wa mashineni na mashati mapana ya mikono mirefu halafu wanachomekea upepo ukija yaan suruali na shati vyote vinapepea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan koti mtu akivaa utafikiri ametundika hahahahahahaha siyo poa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahaahahahah yaani suruali kama mfuko wa mashineni na mashati mapana ya mikono mirefu halafu wanachomekea upepo ukija yaan suruali na shati vyote vinapepea

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂😂😂nataman kukaa chini😂😂😂😂 upande m1 wa suruali zinatoka.skrti 2 kubwa tu hahahahah yaan surual 1 inatoa sket4😂😂😂😂...dah those days jaman.ilikua full kucheka..nacheka hapa jamn hahaha hD kichwa kinauma
 
Hahahaha nimecheka sana !
MCHANGO WANGU

Nadhani kila kundi katika jamii kutokana na itikadi zao kufanana hujikuta wanamuda mwingi wakuongea (wasiliana ) hivyo kujikuta wana misimamo pia inayoendana kuhusu hata mambo yasiyo husiana moja kwa moja na dhima kuu.
MFANO
- Madaktari wengi huwa wanamiandiko mibaya ,nadhani ni uharaka unaohitajika katika kuhudumia.

- Wahasibu huwa watu wataratibu na watu wakufuata sana vitaratibu vidogo vidogo,nadhani pia mnapata picha.

-Waislamu wengi huwa hawavai serious ,utakuta wengi kavaa shati kubwa hajachomekea ,suruali bila mkanda ,chini lazima ana sandals hata kama ni kikao very serious hebu ona siku ya kukabidhiwa kugombea maalim alivyovaa

chini sandal saafii.

NIRUDI KWA WALOKOLE
Nao kama wenzao waislamu hujikita kuwa na muonekano wa kiadilifu kuliko kuendana na fashion ,majority ya waislamu na walokole ni watu wenye elimu ya chini hivyo hawana exposure wala kipato cha kuendana na fashion tunayodhani mimi na wewe ndo inapaswa ,chunguza viongozi wao mbona hawavai hivyo wakishakuwa na mapato makubwa tizama picha hizi

walokole wa kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…