kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Iringa nimekaa sana kule. Nilikua Mgololo kikwanda cha karatas, hahahah. Asee suti za kule ni HAPANA. Viatu vya kufuta na mashati ya zambarau yametawala sanahàhahahahaa.. i wish siku niende iringa nilete picha zao halisia hapa..dah
Iringa nimekaa sana kule. Nilikua Mgololo kikwanda cha karatas, hahahah. Asee suti za kule ni HAPANA. Viatu vya kufuta na mashati ya zambarau yametawala sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli walokole wanaume hinifurahisha sana vaa yao.
Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za kushonesha za kitambaa cha kung'aa. Zamani walikuwa wanashona suruali pana kupitiliza chini. Akivaa tai basi katakua kafupi kanene na kakung'aa vilevile.
Viatu wanapenda vyeupe, cheusi au vya rangi mbili. Kiatu kimechongoka kina rangi nyeupe na nyeusi.
Makoti wana ya aina nyingi. Kuna yale makubwa siku hizi hawavai sana, linakuwa linafika magotini. Unakuta nalo upande mmoja jekundu na ungine jeupe au jeusi. Kuna yale yanakuwa na viraka kwenye viwiko na mengine ya kawaida tu ila yanakuwa yanang'aa kama bati.
Ila jamaa huwa wacheshi sana.
Bila kusahau bible kubwa mkononi kila sehemu wanayoenda, hata kama anaenda sokoni kununua mboga ataibeba tu[emoji4] [emoji4]Kwakweli walokole wanaume hinifurahisha sana vaa yao.
Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za kushonesha za kitambaa cha kung'aa. Zamani walikuwa wanashona suruali pana kupitiliza chini. Akivaa tai basi katakua kafupi kanene na kakung'aa vilevile.
Viatu wanapenda vyeupe, cheusi au vya rangi mbili. Kiatu kimechongoka kina rangi nyeupe na nyeusi.
Makoti wana ya aina nyingi. Kuna yale makubwa siku hizi hawavai sana, linakuwa linafika magotini. Unakuta nalo upande mmoja jekundu na ungine jeupe au jeusi. Kuna yale yanakuwa na viraka kwenye viwiko na mengine ya kawaida tu ila yanakuwa yanang'aa kama bati.
Ila jamaa huwa wacheshi sana.
Baby siku nakupa apointimenti nitavaa vaa hvyo, ila usinikimbie au kunikanaMmmh
Siwezi kukukana baby naanzajeBaby siku nakupa apointimenti nitavaa vaa hvyo, ila usinikimbie au kunikana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] we jamaaa umefikiria nini kuandika hii mamboKwakweli walokole wanaume hinifurahisha sana vaa yao.
Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za kushonesha za kitambaa cha kung'aa. Zamani walikuwa wanashona suruali pana kupitiliza chini. Akivaa tai basi katakua kafupi kanene na kakung'aa vilevile.
Viatu wanapenda vyeupe, cheusi au vya rangi mbili. Kiatu kimechongoka kina rangi nyeupe na nyeusi.
Makoti wana ya aina nyingi. Kuna yale makubwa siku hizi hawavai sana, linakuwa linafika magotini. Unakuta nalo upande mmoja jekundu na ungine jeupe au jeusi. Kuna yale yanakuwa na viraka kwenye viwiko na mengine ya kawaida tu ila yanakuwa yanang'aa kama bati.
Ila jamaa huwa wacheshi sana.
Huendi mbingun!!!?Kwakweli walokole wanaume hinifurahisha sana vaa yao.
Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za kushonesha za kitambaa cha kung'aa. Zamani walikuwa wanashona suruali pana kupitiliza chini. Akivaa tai basi katakua kafupi kanene na kakung'aa vilevile.
Viatu wanapenda vyeupe, cheusi au vya rangi mbili. Kiatu kimechongoka kina rangi nyeupe na nyeusi.
Makoti wana ya aina nyingi. Kuna yale makubwa siku hizi hawavai sana, linakuwa linafika magotini. Unakuta nalo upande mmoja jekundu na ungine jeupe au jeusi. Kuna yale yanakuwa na viraka kwenye viwiko na mengine ya kawaida tu ila yanakuwa yanang'aa kama bati.
Ila jamaa huwa wacheshi sana.
Usisahau dabaga yaan wanapenda mashati ya purple,,, orange halafu kitambaa cha satin