Vacancies-deadline 31Dec 09

bora hawa jamaa wanatumia email ya yahoo,


ni kweli watapokea maombi yatakayotumwa kwa email? mana nimeona hapo chini kwenye tangazo lao masharti ya jumla,maombi yaandikwe kwa MKONO na YATUMWE KWA
MKURUGENZI WA WILAYA
S.L.P 23
LIWALE
sasa ukituma kwa email si watakuambia hatujaona application yako?
 
Unaweza kuscan
 
Mimi nipo kimyaaa kabisa kwani najua Taaluma yangu haitakiwi kabisaa kwani tangu uhuru mpaka leo hakuna tangazo la kazi la taaluma yangu limewahi kutolewa.
Taaluma yangu ni fine artist (imaginations and life)

Ngoja nikabebe zege
 
Hapo ndipo pabaya ...!
 
Mimi nipo kimyaaa kabisa kwani najua Taaluma yangu haitakiwi kabisaa kwani tangu uhuru mpaka leo hakuna tangazo la kazi la taaluma yangu limewahi kutolewa.
Taaluma yangu ni fine artist (imaginations and life)

Ngoja nikabebe zege
mpwaa mbona unaingia usiku sana???
au na wewe ......................................!😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…