Dubious Shy? what makes you so? unajua ni yale mambo ya FMES? Kwi kwi kwi .... this one i don't think soisnt a scam ??
Duh mkuu,Lakini na wewe hujajibu maswali yangu.Ngoja nifuatilie hadi mwisho then nitakupa jibu. kwa sasa napiga kimya.sorryAlitakiwa aje ajibu mwenyewe unaweza kusema kwanini sio scam ? Manake wewe ndio umemjibia