Actually kwa kutumia hiyo dettol you are moer likely kupata fungus endapo itakua inaingia kenye sehemu za ndani kwani zinaua normal flora.... be as natural as you can be, angalia pia maji unayotumia nk
ushauri wangu ni kumwona daktari wa wanwake ambaye mbia ni mtaalam wa magonjwa ya ngozi...s
o
metime watu wengine wanapata fungal infections huko chini kutokana na matatizo mengine ya ndani
nadhani mtafute daktari kama kamugisha (wanawake - MNH), mtafute dakta ntabaguzi 0754264317 huwa anakuwa tumaini hosp... ni mtaalam wa medicine lakini amesaidua sana baadhi ya wagonjwa wa HIV waliokuwa na chronic fungal infections... naomba hapa uelewe kwamba sisemi wewe una HIV, hapana, ila msaada wake mkubwa ulikua kweny hizo clinics, muhimbili, kcmc na private
it is curable