Valencia yamtangaza Gennaro Gattuso kuwa kocha wao mpya

Valencia yamtangaza Gennaro Gattuso kuwa kocha wao mpya

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
286456017_416907570294096_8014495215547020288_n.jpg
Gennaro Gattuso ameteuliwa kuwa kocha wa Valencia na kusaini mkataba wa miaka miwili

Kiungo wa zamani wa AC Milan mwenye umri wa miaka 44 amekuwa hana timu tangu Mei 2021 alipoondoka Napoli baada ya kuiongoza kushinda taji la Coppa Italia

Mwaka jana alitajwa kupewa nafasi ya kuifundisha Fiorentina lakini mkataba ulivunja hata kabla ya kuanza kuinoa timu hiyo.


Source: BBC


===================

Valencia appoint Gennaro Gattuso as new manager on two-year deal

Gennaro Gattuso has been appointed Valencia manager on a two-year deal.

The 44-year-old has been without a club since May 2021 when he left Napoli, with whom he won the Coppa Italia the previous year.

Former Italy midfielder Gattuso had been named Fiorentina manager last summer but parted company with the club before his official start date.

Gattuso, who spent 13 years as a player at AC Milan, replaces Jose Bordalas, who was sacked on Friday.

Six-time Spanish champions Valencia finished ninth in La Liga in 2021-22.
 
Gatuso mapafu ya mbwa uwanjani kila eneo yupo[emoji23][emoji56]
leo hii kapewa timu ngoja tuone..
 
Zile kelele za kumkataa kwa sababu ameponda ushoga ziliishia wapi?
 
Back
Top Bottom