Nendeni sehemu tulivu kama beach za kigamboni Sunrise for one night, wine kwa nyama choma pembeni, ongeeni mambo ambayo hamjazoea kuhadithiiana, avae ambacho hujawahi kumwona amevaa..cha mvuto..Mwambie jinsi gani unavyompenda na kumthamini inatosha. Hata isahau siku hiyo