Asante sana.Hii imeendaaNa mimi ntakubariki!!!
HahahahJitose tu baba
🤣🤣ndo ivo,akimtosa arudishe Gari ya watu....ila mwanaume akianza yeye kumtosa manzi basi Gari hairudiHahahahaha
Nmekutekenya??? 🙄Hahahah
Napokea ht yako nipe tuuUkishindwa sema tukusaidie
Hahahahaha..akishindwa nione ..nikuelekeze sehemu ukachukue hiyo simu uitakayoJitose tu baba
Hahahahaha..mie nataka ashindwe mtu ndio nisaidie ...Napokea ht yako nipe tuu
Hahahahaha..mnaishi kwa ndoto sana🤣🤣ndo ivo,akimtosa arudishe Gari ya watu....ila mwanaume akianza yeye kumtosa manzi basi Gari hairudi
Kuachana kupo tu na hakuepukiki... you just toa kitu ambacho hata mkiachana hutaumia kumwona nacho😃Kwa moyo naye anayependwa apende kwa moyo.Fair exchange
Usisubiri ashindwe....huyu akinunua simu wewe unakuja na shopping voucher ya WoolworthHahahahaha..mie nataka ashindwe mtu ndio nisaidie ...
🤣🤣🤣🤣umeamua kujitolea mkuu!Atakaye kosa zawadi toka kwa boyfriend/mume/ au jamaa yake anione...nimpatie zawadi
Hahahahahaha...raia wanapanic basi endeleeni🤣🤣🤣🤣umeamua kujitolea mkuu!
Ila mapenzi ya sikuhizi bhana....daah🤨Kuachana kupo tu na hakuepukiki... you just toa kitu ambacho hata mkiachana hutaumia kumwona nacho😃
Hahah😃😃, namvuta taratibu taratibu 😂Chocolate ni kianzio tu hicho,naomba mkumbushe hilo mpenz
Hahahahaha kapanic...Usisubiri ashindwe....huyu akinunua simu wewe unakuja na shopping voucher ya Woolworth
Nani tena kapanicHahahahaha kapanic...
Hahahahahaha...tuyaache hayo uzi mzuri huu..tuendeleeNani tena kapanic
Toa zawadi wewe acha ubabaifuHahahahahaha...tuyaache hayo uzi mzuri huu..tuendelee