Weeee Sema kweliHahahahaha mimi sio mbabaifu...ila jamaa yako hapo juu kapanic...acha atoe yeye..mie yangu utaipata tu usijari
Hili wazo ni nzuri sana mkuu.Nenda nae mahali mle chakula Kisha kafanyeni mapenzi kwa nguvu zenu zote hiyo ndio kumbukumbu mwanamke atakumbuka ikibidi mpe na mimba na jersey Moja nzuri ila isiwe common basi
HahahahahaWeeee Sema kweli
Watu mna mikwaraπππHahahahaha..akishindwa nione ..nikuelekeze sehemu ukachukue hiyo simu uitakayo
Hahahahaha kudadeki
Nakuelewa kiongozi,watu wengine sio wa kuwazingatia mkuu,, kuna sonona huku nje.. watu wanasononeka hadi vitu vya kucheka ππππNimesema ukikosa kwa mtu wako wa karibu ...njoo nitakupa mimi....hii haina tatizo...hapo juu kuna boya limepanic nadhani yeye ndio yuko serious zaidi
Hahahahahaha...mkwara tena ? Haya kama mikwara ..kibubu kiponeWatu mna mikwaraπππ
Hahahahahaha...sasa sonona ya nn yy a chit chatNakuelewa kiongozi,watu wengine sio wa kuwazingatia mkuu,, kuna sonona huku nje.. watu wanasononeka hadi vitu vya kucheka ππππ
Wee jamaaπ€πNenda nae mahali mle chakula Kisha kafanyeni mapenzi kwa nguvu zenu zote hiyo ndio kumbukumbu mwanamke atakumbuka ikibidi mpe na mimba na jersey Moja nzuri ila isiwe common basi
oooh πππ,, me niliandika uzi chit chat watu wakaanza kunifanyia counseling mkuu.. wako wako serious na maishaππππHahahahahaha...sasa sonona ya nn yy a chit chat
Hahahahaha duh.. unapewa shauri nasaha Hahahahaha...wabongo kwa kujipa kazioooh πππ,, me niliandika uzi chit chat watu wakaanza kunifanyia counseling mkuu.. wako wako serious na maishaππππ
HahaπππHahahahaha duh.. unapewa shauri nasaha Hahahahaha...wabongo kwa kujipa kazi
Ntakupa hivyo hivyo πMimi mtu akinipa gari nikiona dalili za kuachana nauza tukose wote ππ
Samsung S 24 ultra
ampe gari asmpe cardππPenzi tamu linaloridhisha na zawadi ya kuvalika....gauni au kiatu au saa kama uwezo wako mzuri Gari(akikuacha Gari arudishe)....maana mapenz nayo yana expire date