Valentine gifts

Nimesema ukikosa kwa mtu wako wa karibu ...njoo nitakupa mimi....hii haina tatizo...hapo juu kuna boya limepanic nadhani yeye ndio yuko serious zaidi
Nakuelewa kiongozi,watu wengine sio wa kuwazingatia mkuu,, kuna sonona huku nje.. watu wanasononeka hadi vitu vya kucheka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
oooh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,, me niliandika uzi chit chat watu wakaanza kunifanyia counseling mkuu.. wako wako serious na maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahahahaha duh.. unapewa shauri nasaha Hahahahaha...wabongo kwa kujipa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…