Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaahaa Hana BANDOMama nmeon viatu vya baba jamii forum alivyovaa leo
Hii hapa๐คฃ๐คฃ hapo unakunywa juice siyo?
Hahahaa wale Jamaa wako vizuri sana sanaKakufananisha na wale wa nidip nikupigie ๐
Well.....ule mshangazi pale vipi?
Anikome nimeokoka mie! Niko na K-vant tuWell.....ule mshangazi pale vipi?
๐คฃ๐คฃ nimeliona limetulia kinoma au halina ndingaAnikome nimeokoka mie! Niko na K-vant tu
Mie nimeokoka, atajua yeye mwenyewe! Ananikata jicho sana, kamtuma mhudumu eti Mimi ni classmate wake๐คฃ๐คฃ nimeliona limetulia kinoma au halina ndinga
BUTUA mzeeMie nimeokoka, atajua yeye mwenyewe! Ananikata jicho sana, kamtuma mhudumu eti Mimi ni classmate wake
Mie nakunywa Zangu, sina Demu sina mpenzi, naimba nyimbo za Msiba Tu kimoyo moyo huku live band inaendelea, wakimaliza napanda huko juu kulala. Niko room no. B28 second floorKujifanya maafisa usalama ๐
Subutuuuu subutuuu Mie na Wanawake urafiki wetu unaishia kwenye Salam Tu not more zan zatiBUTUA mzee
Remember all you Protestants and athiest while you're celebrating Saint Valentines day you're celebrating a CATHOLIC PRIEST who was a martyr for the CATHOLIC CHURCH.Hakika imeenda vizuri sana na nimefurahia ๐.
Kwako imeendaje hii siku?
Valentine Wangu ni K-vant na Live band! Nimewaambia room Yangu iwe Wazi kabisa nikitoka hapa straight to my room. Nakoroma weee Hadi Kesho saa nne. Sina stress ya kulala na mtoto wa MTULeo Valentine ujue๐
Kupewa invoice au kubeba majukumu ya Mzazi wakeUnaogopa nini