Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 473
Tangu jana saa moja usiku, kila navyoruka hewani simu yake iko bize, bahada ya muda ikawa haipatikani kabisaa, nikituma sms "not sent", saa kumi usiku huu nampata hewani! ananikatia cm! Jamani usingizi nimekosa, watu washanipiga bao!
Naona leo 14.02.2012 ni siku chungu kwangu.
Naona leo 14.02.2012 ni siku chungu kwangu.