Valentine Niliemtegemea Kaingia Mitini!

Michael Scofield

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2011
Posts
1,225
Reaction score
473
Tangu jana saa moja usiku, kila navyoruka hewani simu yake iko bize, bahada ya muda ikawa haipatikani kabisaa, nikituma sms "not sent", saa kumi usiku huu nampata hewani! ananikatia cm! Jamani usingizi nimekosa, watu washanipiga bao!

Naona leo 14.02.2012 ni siku chungu kwangu.
 
ni nani yako hadi unakosa usingizi?
I mean una urafiki nae au ni nani? maana hkujali leo hii
 
Inawezekana hata hajafanya kitu chochote,ushatune kwenye mind yako siku ya valentine ni ya kuibiwa hao mnaowaita ma Gf.

Kwa nini umetegemee trh 14.2.tu,what about other days?

Love shuld b always,not valentine day.
 
Kwa nini umetegemee trh 14.2.tu,what about other days?
Mkuu siku zote zina upendo, lakini siku kama hii inatakiwa muwe karibu sana na muonyeshe ni jinsi gani mnajaliana!
Kwani wewe siku ya sikukuu, familia yako uwa inapika vitu vizuri, kwani ndio kuonyesha siku zingine hamli vizuri au ni furaha kwa special day?
 

For me and my Gf,kila siku ni valentine,off course ndo cku ya wapendanao,usiwe confused kiivyo,amewasha,umepiga amekata,kesho haipo?utajua ni nini kinaendelea.

Tatizo umeweka akilin siku ya valentine,ni cku ya kuwa close cnaaa na ur Gf,siyo mbayaa,its true,but siku zilizopita hajawah zima simu???,hujawah send text ikawa not delivered???,hujawah kumpigia akakata????.That uliemtegemea hiyo cku,ana vijitabia gani??.nzuri,mbaya??!nataka nikuambie kitu hapo.

USIIKUZE CNAAA HII SIKU,NA UKAJUA IT'S A WORSE DAY.IT'S A NORMAL DAY,LOVABLE.

Mtafute leta ujue,why she did that.
 
Bora kule kwa Husn ungenichagua mie, unaona sasa? Na mie kufanywa plan B staki. Imekula kwako, pole weeh!
 

Mkuu chriss we acha tu! mpaka naleta jamvini! kuna sms ya utata aliyonitumia ndio inanichanganya akili.
 
Too late papaa! Sikubali kuwa emergency number kama wewe ulivyowekwa na huyo bibie. Vuta subira, akitoswa huko aliko huenda akakusaka baadae. All the best.
Jamani King'asti! hata wewe haunionei huruma mtoto wa mwanamke mwenzio? kwahiyo siku ya leo sina wa kunifuta machozi?
Wallahi nitajipiga ban ya mapenzi kwa stahili hii. nakuomba king'asti usikie kilio changu.
 
Pole sana... anza plan B sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…