Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 473
- Thread starter
-
- #21
Asante bro!.hapa pole mdau.
Asante Zabibu, king'asti nae kanitosa! jamani kweli sipendeki mimi.Pole mwaya
Taz asante nimeshaanza kuyazoea maumivu. Nitaianza plan B soon.Pole sana... anza plan B sasa
Asante dada Naima.Duh!! Pole sana....likuepukalo ........1
acha utoto wewe, hujui mwanamke ni kama kandambili? Kwa taharifa yako ukivua tu wenzio tunavaa, pole karaghabaotangu jana saa moja usiku, kila navyoruka hewani simu yake iko bize, bahada ya muda ikawa haipatikani kabisaa, nikituma sms "not sent", saa kumi usiku huu nampata hewani! Ananikatia cm! Jamani usingizi nimekosa, watu washanipiga bao!naona leo 14.02.2012 ni siku chungu kwangu.