Valentine sio siku ya wanawake ni siku ya wapendanao. Kama wewe dada hauwezi kumtafutia mpenzi wako zawadi ni aibu kutegemea kuletewa

Valentine sio siku ya wanawake ni siku ya wapendanao. Kama wewe dada hauwezi kumtafutia mpenzi wako zawadi ni aibu kutegemea kuletewa

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Siku ya wapendanao sio siku ya impress demu wako. Kupenda ni KUTOA upendo na KUPOKEA upendo. Don't make execuse kwa mwanamke ambaye anataka kupokea tu. Mtupilie mbali.

Yani kuna mtu leo anajiandaa atumiwe meseji asubuhi hii alafu jioni aletewe ka-gift fulani, bwana ake akisahau hivi vyote ananuniwa wiki nzima.

Yaani nyie ni kupokea kupokea kupokea tu siku 364.

When will you be responsible katika mapenzi? Mwanamke huwa anaweka hisia zake kuwa very special katika dunia ya fikra zake huku mwanaume akimueka pembeni.

Aya leteni matusi ya "TAFUTA HELA WEWE"!
 
IMG_20250214_082555.jpg
 
Siku ya wapendanao sio siku ya impress demu wako. Kupenda ni KUTOA upendo na KUPOKEA upendo. Dont make execuse kwa mwanamke ambaye anataka kupokea tu. Mtupilie mbali

Yani kuna mtu leo anajiandaa atumiwe meseji asubuhi hii alafu jioni aletewe ka-gift fulani, bwana ake akisahau hivi vyote ananuniwa wiki nzima.

Yani nyie ni kupokea kupokea kupokea tu siku 364,

When will you be responsible katika mapenzi, mwanamke huwa anaweka hisia zake kuwa very special katika dunia ya fikra zake huku mwanaume akimueka pembeni.

Aya leteni matusi ya "TAFUTA HELA WEWE"
Nyie wanawake mnahangaika na hii siku. Sisi wanaume hata hatukuwa tunajua. Mi ndo nasoma uzi wako huu nakumbuka. Mara demu wangu naye kanitumia msg ya happy V day. Nikasema nyie mnaji shughulisha sana. Hasa nyie wa nyumbani. We ndo umeona uje anzisha uzi kabisa kutukumbusha....😁
 
Nyie wanawake mnahangaika na hii siku. Sisi wanaume hata hatukuwa tunajua. Mi ndo nasoma uzi wako huu nakumbuka. Mara demu wangu naye kanitumia msg ya happy V day. Nikasema nyie mnaji shughulisha sana. Hasa nyie wa nyumbani. We ndo umeona uje anzisha uzi kabisa kutukumbusha....😁
Kama demu wako kakkutumia happy valentine day basi huyo ni kongole anahitaji

Aya ikifikka jioni mpelekee hata chips mayai mixer milkshake.
 
Kwa nini machozi yasikutoke. Wee mwanamke akuoe zawsdi ya gari sii mchezo....kitu nadra sana hasa wana kenge wa bongo
Nyie zawadi zenu ni boxer na vest ukipendelewa sana ni perfume tena hspo hela ya kuvinunua inatoka kwenu wenyewe😂
 
Back
Top Bottom