njoo uniogesheOk, uoge mara mbili wewe
Sijui hii zawadi wanaipendea nini?ukiishi na ke jifanye mjinga tu
hata akisema akupe zawadi atakupa boxer tu na vest😅
😂😂😂 Mkuu punguza kuanagalia pornoSijui hii zawadi wanaipendea nini?
Mwanamke anajielewa hawezi leta vest na boxer. Atamletea bwana wake mwanamke mwengine mzuri ili ipigwe threesome. Thats the best vale tines gift a woman can give a man
Oya niletee zawadi ya jersey ya yanga iwe imeandikwa mzabzabSaa hizi umekuja kulalamika huku wakati hata mlengwa mwenyewe hajui.
Ye yupo huko anasubiria msg yako.
sana tu😂😂😂😂 Tuko pamoja lakini
Nyie wanawake mnahangaika na hii siku. Sisi wanaume hata hatukuwa tunajua. Mi ndo nasoma uzi wako huu nakumbuka. Mara demu wangu naye kanitumia msg ya happy V day. Nikasema nyie mnaji shughulisha sana. Hasa nyie wa nyumbani. We ndo umeona uje anzisha uzi kabisa kutukumbusha....😁Siku ya wapendanao sio siku ya impress demu wako. Kupenda ni KUTOA upendo na KUPOKEA upendo. Dont make execuse kwa mwanamke ambaye anataka kupokea tu. Mtupilie mbali
Yani kuna mtu leo anajiandaa atumiwe meseji asubuhi hii alafu jioni aletewe ka-gift fulani, bwana ake akisahau hivi vyote ananuniwa wiki nzima.
Yani nyie ni kupokea kupokea kupokea tu siku 364,
When will you be responsible katika mapenzi, mwanamke huwa anaweka hisia zake kuwa very special katika dunia ya fikra zake huku mwanaume akimueka pembeni.
Aya leteni matusi ya "TAFUTA HELA WEWE"
Kwa nini machozi yasikutoke. Wee mwanamke akuoe zawsdi ya gari sii mchezo....kitu nadra sana hasa wana kenge wa bongoHalafu ukipewa zawadi kama gari au maua machozi yatakutoka kama mwanamke? Huo si umama!
Kama demu wako kakkutumia happy valentine day basi huyo ni kongole anahitajiNyie wanawake mnahangaika na hii siku. Sisi wanaume hata hatukuwa tunajua. Mi ndo nasoma uzi wako huu nakumbuka. Mara demu wangu naye kanitumia msg ya happy V day. Nikasema nyie mnaji shughulisha sana. Hasa nyie wa nyumbani. We ndo umeona uje anzisha uzi kabisa kutukumbusha....😁
Ebo! Waislam hawapendani ama mie aijaelewa?
Nyie zawadi zenu ni boxer na vest ukipendelewa sana ni perfume tena hspo hela ya kuvinunua inatoka kwenu wenyewe😂Kwa nini machozi yasikutoke. Wee mwanamke akuoe zawsdi ya gari sii mchezo....kitu nadra sana hasa wana kenge wa bongo