Valentine's Day: Kwanini akina dada wanadhani wao ndiyo wanatakiwa wapewe zawadi na sio wao kutoa zawadi?

Kimemeta

Senior Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
181
Reaction score
234
Ni jioni tulivu kuelekea kesho siku ambayo wanadamu tumeamua kuopotosha kabisa maana yake halisi na kujiwekea maana ambayo inatufurahisha sisi kizazi cha uovu. Haya hili tumekubali sasa kuna jingine kama heading inavyosomeka.

Yani akina dada wanajiona wao ndo wanaostahili kupewa zawadi toka kwa wapenzi wao wa kiume na sio wao kuwapa wapenzi wao zawadi.

Sasa mimi nasema hivi, hapewi mtu zawadi hapa, ninao kama watatu hivi atakaye nipa zawadi ndo na mimi nampa.

 
Hata kwenye 6 × 6 nani anatoa na nani anapokea? Basi ilianzia hapo
 
Sababu tumeumbwa ili tutoe kwa ajili yao.

Mfano,Tunawapa rungu kipepe na wao wanatupa mbususu
Tunawapa pesa,wanatupa mbususu
 
Kwani lile bango pale si ni mwanamke katengeneza lile? Tena la 7M sasa nyie wanaume mnataka zawadi gani zaidi jamani[emoji23]
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmless

When a man is not deluded enough to think this he can not only outmaneuver her but outclass her at her own game

Lot of this delusion is result of social brainwashing

Our ancestors weren't this stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa wao wanajua kupokea tuu ila kutoa no, wanazingua kweli.
 
😊😌Valentine hii wamebadilika ..amekuta meseji za usaliti lakini amesamehe na amenitoa out abarikiwe ☺️
 
Hii Valentine's day ya mwaka huu imekuja kwa kushtukiza kweli.

Ngoja tusubiri ijayo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…