Achana na bango, mie leo nilibebwa mgongoni..[emoji8][emoji7][emoji39]Kwani lile bango pale si ni mwanamke katengeneza lile? Tena la 7M sasa nyie wanaume mnataka zawadi gani zaidi jamani[emoji23]
You ur my valentine FS..c kwa huu upwekeKwani lile bango pale si ni mwanamke katengeneza lile? Tena la 7M sasa nyie wanaume mnataka zawadi gani zaidi jamani😂
Wow nakuweka kwenye bango pia 😍You ur my valentine FS..c kwa huu upweke
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmlessKwani lile bango pale si ni mwanamke katengeneza lile? Tena la 7M sasa nyie wanaume mnataka zawadi gani zaidi jamani[emoji23]
Usiwe mjinga kiasi hicho, huo sio uwajibikajiSwali la kishoga
Ukiwa mwanaume lazima uwe mtu wa kuwajibika tu
Kweli kabisa wao wanajua kupokea tuu ila kutoa no, wanazingua kweli.Ni jioni tulivu kuelekea kesho siku ambayo wanadamu tumeamua kuopotosha kabisa maana yake halisi na kujiwekea maana ambayo inatufurahisha sisi kizazi cha uovu. Haya hili tumekubali sasa kuna jingine kama heading inavyosomeka.
Yani akina dada wanajiona wao ndo wanaostahili kupewa zawadi toka kwa wapenzi wao wa kiume na sio wao kuwapa wapenzi wao zawadi.
Sasa mimi nasema hivi, hapewi mtu zawadi hapa, ninao kama watatu hivi atakaye nipa zawadi ndo na mimi nampa.
View attachment 2118702
Hahah!naomba kama utafanya ivo unitafutie billboard iliyo city centre...isiwe kama ya zamarad ambayo ipo country side..nataka mama akitua tu kutoka Belgium akutane nayoWow nakuweka kwenye bango pia 😍
Ni jioni tulivu kuelekea kesho siku ambayo wanadamu tumeamua kuopotosha kabisa maana yake halisi na kujiwekea maana ambayo inatufurahisha sisi kizazi cha uovu. Haya hili tumekubali sasa kuna jingine kama heading inavyosomeka.
Yani akina dada wanajiona wao ndo wanaostahili kupewa zawadi toka kwa wapenzi wao wa kiume na sio wao kuwapa wapenzi wao zawadi.
Sasa mimi nasema hivi, hapewi mtu zawadi hapa, ninao kama watatu hivi atakaye nipa zawadi ndo na mimi nampa.
View attachment 2118702
Make wa 2,3 au ineKwani lile bango pale si ni mwanamke katengeneza lile? Tena la 7M sasa nyie wanaume mnataka zawadi gani zaidi jamani[emoji23]
Mimi zawadi niipendayo ni ruhusa ya michepuko tuKwani lile bango pale si ni mwanamke katengeneza lile? Tena la 7M sasa nyie wanaume mnataka zawadi gani zaidi jamani[emoji23]