<br />KIzuka si neno sahihi kwa sababu <font color="#0000cd">KIZUKA: ni mfiwa na mume...(MJANE)</font>
MSUKULE inaendeana lakini bado inatuacha na walakini kwa sababu tukiichambua mbeleni inaachana ki-maana.mhh! sijui
labda neno MSUKULE linaweza lika fit
"Mumiani" ndio maana sahihi,kama mnakumbuka enzi za nyonya damu!
ujinga sio sifa ila ni kashfa mimi ndio nimeleta hili hapa na nia yangu ya dhati ni kujifunza na wala si kushindana,najaribu kuchangia mawazo na wachangiaji,mbona kama umekurupuka toka usingizini,unaropoka tu!...siku hizi wana maeno wanasema umeshindwa kunisoma!!<br />
<br />
sema la kwako sasa, sio kusahihisha tu ya wenzio. Tunasubiria!