Vampire

TONGONI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,041
Reaction score
375
Msaada wana JF nini kiswahili cha neno hili...VAMPIRE
 
mhh! sijui

labda neno MSUKULE linaweza lika fit
 
KIzuka si neno sahihi kwa sababu KIZUKA: ni mfiwa na mume...(MJANE)
Isipokuwa neno Mzuka linakaribiana na maana ya VAMPIRE kwa sababu MZUKA =GHOST
 
KIzuka si neno sahihi kwa sababu <font color="#0000cd">KIZUKA: ni mfiwa na mume...(MJANE)</font>
<br />
<br />

Sema la kwako sasa, sio kusahihisha tu ya wenzio. Tunasubiria!
 
mhh! sijui

labda neno MSUKULE linaweza lika fit
MSUKULE inaendeana lakini bado inatuacha na walakini kwa sababu tukiichambua mbeleni inaachana ki-maana.
MSUKULE wanao amini ni kuwa anachukuliwa mtu kimazingara watu wakiamini amekufa lakini hao wanao daiwa kuwa na hiyo taaluma wanakuchukua kwenda kukufanyisha kazi,na mambo mengine wanayo yajua wao.
 
"Mumiani" ndio maana sahihi,kama mnakumbuka enzi za nyonya damu!
 
"Mumiani" ndio maana sahihi,kama mnakumbuka enzi za nyonya damu!

lakini wale muminiani si walikuwa ni watu..? i mean binaadamu kama sisi...
 
<br />
<br />

sema la kwako sasa, sio kusahihisha tu ya wenzio. Tunasubiria!
ujinga sio sifa ila ni kashfa mimi ndio nimeleta hili hapa na nia yangu ya dhati ni kujifunza na wala si kushindana,najaribu kuchangia mawazo na wachangiaji,mbona kama umekurupuka toka usingizini,unaropoka tu!...siku hizi wana maeno wanasema umeshindwa kunisoma!!
 
lakini wale muminiani si walikuwa ni watu..? i mean binaadamu kama sisi...
Kwa kumbukumbu zangu MUMIANI ilikuwa ni uvumi kuwa kuna watu wakikukamata wanakunyonya damu.na tulikuwa tunawakimbia wazungu enzi za mashamba ya mkonge.
 
Hivi mavampaya TZ wapo?
Kwa Tanzania sina hakika lakini nikijibu kilimwengu,miaka ya 1730 imani hii ilikuwepo sana Ulaya ya Mashaririki,hasa hasa sehemu za Hungary.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…