Van Damme na Bolo Yeung wakiwa apamoja tena miaka 37 baadae

Van Damme na Bolo Yeung wakiwa apamoja tena miaka 37 baadae

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Hii ni picha ya Jean Claude Van Damme akiwa na Bolo Yeung.

Hapo wakiwa katika movie ya bloodsport ya mwaka 1988 na picha ya nyingine walipokutana mwaka huu 2025 takribani miaka 37 baadae.

Ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
IMG_5440.jpeg
 
Hii ni picha ya Jean Claude Van Damme akiwa na Bolo Yeung.

Hapo wakiwa katika movie ya bloodsport ya mwaka 1988 na picha ya nyingine walipokutana mwaka huu 2025 takribani miaka 37 baadae.

Ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.View attachment 3257330

Nguvu ni kitu cha kuisha ila hakikisha zinapokuisha basi uwe umekusanya mali za kutosha ili uzeeni usitaabike wala kufedheheka kwa shida ndogo ndogo
 
Wanawake wazee, mgalala, mpepe hakuna mtu atatoboa hapo
Nimecheka ahahaha kwa wale wasiolewa lugha ya hapo, Mgalala=punyeto=kujichukulia sheria mkononi, mpepe=shada=bange=msuba=mneli=ganja aloooh wanawake wazee si mnawajua dogo una 20 unataka uruke na mamako mdogo wa miaka 37 na sisi kaka zenu tumewaachia si hamtaki cha 2000 vyenzenu, sawa sawa
 
Back
Top Bottom