Vanesa mdee ataja mamilioni yaliyotumika kutengeneza MoneyMonday

Watanzania tunapenda kuongeza sifuri
inawezekan mkuu maan video zake siku hizi hazitengenezei hapa Tz, bado ela ya kuwalipa hao aliowashirikisha, bado kudurufu album, ela ya studi, matangazo mkuu inawezekana kabisa ukifikiria
 


Usisahau Navykenzo walitoa pia album yao mwaka jana. Hiyo ya Diamond A boy from Tandale sio album bali mkusanyiko wa nyimbo zake tangu kaanza kuimba tofautisha na Vanessa au Navykenzo waliotoa nyimbo mpya kwenye hizo album
 
Hapana naweza mtetea ,kwa video zote zile mil 100 tu? Sasa Diamond video moja tu anakwambia milioni 70 albam nzima si atasema katumia bilioni 1?
Hivi watu wanaitwa wasanii na wewe still unaamini kila kinachoongelewa nao kwa 100%...

Nnahisi haufahamu kama wasanii ni watoto na wanasiasa tabia zao ni kama twins
 
So si kashapata loss because mpaka sasa kauza copy 40 na each copy 10000=ana million 40
Hesabu zako haziko sahihi,40 mara 10,000 unapata 400,000 (laki nne),na sio 40,000,000 (milion arobain)
 
Hapana naweza mtetea ,kwa video zote zile mil 100 tu? Sasa Diamond video moja tu anakwambia milioni 70 albam nzima si atasema katumia bilioni 1?
Chibu naye kwa kuongeza sifuri ni mzuri
 
Vipi na wewe umelipwa?
 
Hivi kikawaida mtu akisema bujibuji ni msanii sana unamuelewaje kwa halaka?,so maneno ya Vanessa inaweza kuwa kweli /uongo,lkn wale ni watu wa kutafuta sifa
 
Hapana naweza mtetea ,kwa video zote zile mil 100 tu? Sasa Diamond video moja tu anakwambia milioni 70 albam nzima si atasema katumia bilioni 1?
Mkuu nadhani hii ni audio album so tuliza wenge
 


Mbona albam si nzuri, hapa alichemsha.
 
Ila Money Monday iko vzr sana nmeiskliza hyo Album
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…