Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Sa kwa wale tuliozoea kugegedwa kwa miziki sijui huu nitavutiaje hisia. ..kiru!
duuh umenikumbusha enzi hizo dadeki ikifika saa sita lazima ni tune STARTV kucheki bonga na buzzAmenikumbusha G Scana na Demu wake wa Kihindi.
UUUUWI AHAHAHAHHAHAHaka nako kapunguze nyodo, nikikaona huwa nakafananisha na katuni za Kipanya maana anafanana nazo sana.
keshachemka kwenye mavaziKihindi sikijui ila kaimba vizuri
HAHAHAHAKemcho am dabati balabalacheeeeeee!!!
Namaste!nehii me hunaa kaasma khe
Nakuona upo na Avatar ya Mwenyekiti wa Maandalizi ya Misiba Bongo Movie!Wabongo kwa kuponda tu..mpo vizuri
hahahahaSie wengine tunajua kuimba kikuryaa..
unauhakika na maneno unayoongea wewe?Kazi nzuri, napendaga wadada wanajiingizia kipato kwa kujishughulisha kihalali kama huyu! Wale wauza mbunye sijui hawajui hata kufunga karanga? Pathetic!
Hatuwajui kvp wakati kila siku twawaona posta, k/koo nk?Yani Muhindi aje kutalii bongo hahaha nadhani hamuwajui wahindi ninyi.
hahahahahaNaona balozi ametekeleza agizo la Rais la kutaka kila balozi aoneshe alicho kifanya kwa kipindi cha miezi sita,tutegemee kuona wimbo kwenye channel ya b4u music na zee music...
Serikali pia ipeleke matangazo ya utalii kule BBC WORLD SERVICE.
Meona eeinaonesha hakwenda india kushangaa mitaa, viva to all female hustlers including Vee herself
wahindi walikosa hela ya kumlipa avae kihindi au?inaonekana ni campaign ya indian high commison kutangaza utalii wa Tanzania, shavu hilooo
na GOD FATHER wake atamkubalia au?
HAHAHAHNimependa strategy ya ATCL na Utalii kwa ujumla.