Vanessa Mdee, Gosby na Mabeste Wakimbia Bhitz

Vanessa Mdee, Gosby na Mabeste Wakimbia Bhitz

Sr. Magdalena

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
803
Reaction score
472
Baada ya AY na Mwana FA kuzikimbia studio za Bhitz mwaka jana mwishoni kutokana na ugumu wa Kufanya kazi na Hermy B na management yote ya Bhitz, wasanii wanaofanya vizuri kwenye bongo flava Vanessa Mdee, Mabeste na Gosby nao wameamua kujiondoa kwenye studio hizo.

Habari zinasema Mabeste alijiondoa Mnamo mwezi wa sita, huku Gosby na Vanessa wakikataa ku renew mkataba mpya kwa madai mikataba ya Bhitz ni ya kimaslahi zaidi kwa Bhitz na siyo kwa wasanii, wasanii wengine waliobaki Bhitz wako kwenye negotiation za kuomba kusitisha mikataba yao.
 
B-hits hawawezi kukaa na wasanii wenye akili na upeo, ukitaka kumjua vizuri Hammy B muulize AY na mwana FA watakupa mkanda mzima ni kiasi gani ile studio inaendeshwa kiubinafsi na kimagumashi, Hammy huwa anaweka fedha mbele kazi baadaye, na ni mkamuaji haswaa....
Hemy huwa anaandaa matamasha na wasanii wa B-hits huwa wanafanya show bure, wakati zina wadhamini na kiingilio, hata show ya Azonto in Dar, wasanii wa B-hits hawakulipwa.... this dude is far worse than Ruge..sema watu hawajui tuu........bora hao madogo wakaangalie ustaarabu mbele, au wawe independent artist kama wenzao, kina jide, fiq q, mwana fa na ay
 
B-hits hawawezi kukaa na wasanii wenye akili na upeo, ukitaka kumjua vizuri Hammy B muulize AY na mwana FA watakupa mkanda mzima ni kiasi gani ile studio inaendeshwa kiubinafsi na kimagumashi, Hammy huwa anaweka fedha mbele kazi baadaye, na ni mkamuaji haswaa....
Hemy huwa anaandaa matamasha na wasanii wa B-hits huwa wanafanya show bure, wakati zina wadhamini na kiingilio, hata show ya Azonto in Dar, wasanii wa B-hits hawakulipwa.... this dude is far worse than Ruge..sema watu hawajui tuu........bora hao madogo wakaangalie ustaarabu mbele, au wawe independent artist kama wenzao, kina jide, fiq q, mwana fa na ay

Maskini hapa kama Binti hayuko imara basi lazima alale na producer, inasikitisha
 
Yale yale ya Manaiki! Dunia hii!Ni kwambieni kitu ; Maproducer kuuona ufalme wa Mbingu ni ngumu kuliko Ngamia kupenya tundu la sindano!!!!
 
Hivi FA na AY hawakukimbia Bhits kwasababu ya kademu fulani? Just curious
 
B-hits hawawezi kukaa na wasanii wenye akili na upeo, ukitaka kumjua vizuri Hammy B muulize AY na mwana FA watakupa mkanda mzima ni kiasi gani ile studio inaendeshwa kiubinafsi na kimagumashi, Hammy huwa anaweka fedha mbele kazi baadaye, na ni mkamuaji haswaa....
Hemy huwa anaandaa matamasha na wasanii wa B-hits huwa wanafanya show bure, wakati zina wadhamini na kiingilio, hata show ya Azonto in Dar, wasanii wa B-hits hawakulipwa.... this dude is far worse than Ruge..sema watu hawajui tuu........bora hao madogo wakaangalie ustaarabu mbele, au wawe independent artist kama wenzao, kina jide, fiq q, mwana fa na ay

Issue ya AY/FA BHits waliweka wazi kwamba BHits waliamua kuongeza recording fee baada ya kuona Bongofleva Industry imebadilika wasanii hawatoi album wanatoa single tu.Utakuta msanii anatoa track moja amemlipa Producer laki 5-1milioni but hiyo track itamuingizia 50m-100m but still Producer ameambulia ile laki 5 ambayo.AY/FA walikataa kukubaliana na hilo ongezeko wakaamua kuondoka na sidhani kama ni tatizo.
Bongofleva kwa sasa inalipa lakini wanaofaidika ni wasanii tu na sio producer ndio maana sasa wasanii kama ROMA,AY,FA,Diamond,Nay wa Mitego,Profesa J,Lady Jay Dee na wengineo wanaingiza hela nyingi lakini producer wanachokipata hata 10% ya mapato aliyoingiza msanii haifiki.BHits wanataka kuendesha mambo yao ki-proffesional zaidi na hapo ndio wasanii wengi wanashindwa
 
Issue ya AY/FA BHits waliweka wazi kwamba BHits waliamua kuongeza recording fee baada ya kuona Bongofleva Industry imebadilika wasanii hawatoi album wanatoa single tu.Utakuta msanii anatoa track moja amemlipa Producer laki 5-1milioni but hiyo track itamuingizia 50m-100m but still Producer ameambulia ile laki 5 ambayo.AY/FA walikataa kukubaliana na hilo ongezeko wakaamua kuondoka na sidhani kama ni tatizo.
Bongofleva kwa sasa inalipa lakini wanaofaidika ni wasanii tu na sio producer ndio maana sasa wasanii kama ROMA,AY,FA,Diamond,Nay wa Mitego,Profesa J,Lady Jay Dee na wengineo wanaingiza hela nyingi lakini producer wanachokipata hata 10% ya mapato aliyoingiza msanii haifiki.BHits wanataka kuendesha mambo yao ki-proffesional zaidi na hapo ndio wasanii wengi wanashindwa

Mkuu Joachim acha upotoshaji, watu wanajua mengi sana mkuu,

Jikumbushe hapa Makala: AY na B'Hits na urafiki uliochuja kimya kimya | Tanzania Celebs
 
Last edited by a moderator:
Mambo Jambo unajua adhabu ya name calling?

Hata hivyo wasanii wana uhuru wa kufanya watakalo na kuamua wa record wapi.

Hivyo maamuzi yao yaheshimiwe lakini hisiwe chachu ya chuki.

Mzee naona unapunguza stress za jukwaa kubwa kule juu...

Ni kweli vijana wapate nafasi yakufanya kazi zao sehemu wanazotaka, tatizo mfumo wa biashara ya muziki Tanzania haija rasimishwa, mwenye nguvu ana muumiza asiye na nguvu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Joachim acha upotoshaji, watu wanajua mengi sana mkuu,

Jikumbushe hapa Makala: AY na B'Hits na urafiki uliochuja kimya kimya | Tanzania Celebs

Mimi naitwa Belo ,Joachim ndio nani ? Uwe unasoma kwanza post za watu kabla hutakurupuka kukosoa kwanza
Ukiambiwa changanya na zako sababu niliyoitoa ipo kwenye hiyo article iliyoandikwa hiyo issue ilivyotokea AY hajawahi kuizungumzia public but MwanaFa na Hermy B walizungumzia hiyo issue na sababu ndio hiyo niliyozungumza hapo.Kama hutaki hulazimishwi mfano Diamond/Dimpoz/AY/Roma kwa sasa single yao moja inaweza kuwaingizia zaidi ya 100milion but still producer analipwa laki 5 hadi milioni lakini ukienda kwenye video hao kina Diamond/AY/MwanaFA wanaenda kufanya video SA kwa gharama kuanzia milioni 20-50milion.Sasa muziki ni biashara inayolipa sana wadau wote wanastahili kufaidika
 
Tatizo la wasanii wa bongo wanapenda sna mteremko antka studio alipe laki tano kwny show apige mil kumi yaan faida mil9.5 na still analalamika ananyonywa tuwe wakwel hpo anayenyonywa nan msanii au producer
 
Tatizo la wasanii wa bongo wanapenda sna mteremko antka studio alipe laki tano kwny show apige mil kumi yaan faida mil9.5 na still analalamika ananyonywa tuwe wakwel hpo anayenyonywa nan msanii au producer

Komeka nakubaliana na wewe kwenye hilo, lakini vilevile mikataba kati ya producers na wasanii imekaa kilaghai sana.

Kuna tofauti kubwa kati ya Record Label na Production house lakini kwa Tanzania hili halieleweki.

Kazi ya Record Label ni kusimamia shughuli zote za kimuziki za msanii kama kumtafutia studio na producers wazuri, kusambaza nyimbo radioni, online, kwenye Tv, kuandaa interview, makala za magazetini, na online, kumtengezea music video na kuzifanyia promotion, kufanya distribution ya kazi zake etc.

Sasa tatizo unakuta producer na ka studio kake anamuingiza mkataba msanii kana kwamba yeye ni record label kumbe hamna kitu hapa pesa na watu wakufanya shughuli hizo hapa, unakuta kazi yake ni kuproduce wimbo, baada ya hapo anampa msanii na kazi yake inakuwa imeisha, sasa hapa ndipo msanii utamuonea huruma, kwa gharama zake itabidi akatoe copy za cd kwa ajili ya kuzisambaza katika radio stations, kuomba interview, kuomba makala kwenye magazeti, kufanya promotion na distribution, PR, kutafuta shows..etc, huku producer akiwa anakula kiyoyozi studio....na hapa ikiingia hata sh laki moja producer anachukua asilimia 60% na kumwachia msanii asilimia 40% , wakati kiukweli msanii amefanya kazi kubwa ya kuutangaza music, ndiyo maana wasanii wengi wanavunja mikataba, hata hawa kina Mabeste story itakuwa ni hiyo hiyo
 
Back
Top Bottom