mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Vanessa Mdee amesema anamshukuru Diamond Platnumz kwakuwa amefungua njia ya wasanii wengi wa Tanzania kufahamika kimataifa.
Vanessa ameiambia Bongo5 kuwa mafanikio ya staa huyo yameifanya Afrika iuheshimu muziki wa Tanzania.
Unajua mimi namheshimu sana Diamond kwa vitu vingi ambavyo ametufanyia sisi wasanii wa kitanzania, ametufungulia njia. So for me its just like he is making it so much easier for me, for Navy Kenzo, whoever else is coming nyuma yetu. To me he is like my little brother but he is my big brother like in music so I am really very proud of him.
Diamond alimtaja Vanessa kama msanii wa kike anayemkubali zaidi kwa sasa.Vanessa Mdee akiongea kuhusu Diamond, MTV na video ya Hawajui - YouTube