Vanessa Mdee ~ Never Ever: Video nzuri, lakini ina ukakasi

Jux hana mke hapa demu kakomaa na kingekuwa kizuri kidogo tu hiki kidemu pasingekalika
Duu baba mkwe kama yupo au mashemeji wameona hii video ni fedheha
 
Kajiacha uchi mno kiukweli mbona ni mzuri hakukua na haja ya kukaa nusu uchi otherwise angeuweka ni age ipi waiangalie hyo video
Alafu huyu binti amesha ona sifa kukaa uchi Basata wanapaswa kumfundisha adabu analeta uzungu unao pitiliza ana sahau sisi tuna tamaduni zetu...
 
Mmesahau kuwa huu uzi si wa Alikiba....!
NILIMPENDA KIBA KUPINDUKIA, KWA SASA NAMCHUNIA KULIKO NILIVYOMPENDA.....kwa taarifa yako wtsp sina rafiki anayemkubali kiba kwa sasa.....wooote wamegeuka,,,,,akaombe kura kwa magufuli

Kwani kosa lake ccm kama ni ccm show moja wanampa 25m sasa aache kisa mashabiki we kweli unachekesha mi ni ukawa ila siezi fanya ujinga huo

 
WImbo huu ni mbovu hatari, uthungu mwingi, eti anatangaza Tanzania shame shame, heri hata snura au shilole, huyu wanambeba tu, mi jana nimepatwa na hasira eti kamebeba Afrimma,

Mwanamziki ni KingKiba tu. Na wimbo bora ni #Nagharamia tu
Bila kuathiri jambo lolote hata mimi hadi sasa sijaona uzuri wa audio ya wimbo huu....
 
Ni upumbavu na ulofa kuifungia video ya Vee wakati kuna nyingi sana mbaya za nicki zinachezwa mpaka leo.
 
Ni upumbavu na ulofa kuifungia video ya Vee wakati kuna nyingi sana mbaya za nicki zinachezwa mpaka leo.
Kwani zilipofungiwa za kina Snura na Jux za kina nick hazikuwepo? unafikiri hiyo ina halalisha ya Vanessa kuachwa?
 
Ni upumbavu na ulofa kuifungia video ya Vee wakati kuna nyingi sana mbaya za nicki zinachezwa mpaka leo.
Daa kweli madaliko ni muhimu kwa hiyo unamfananisha nick minaj na vanessa?? Different country different culture difference music yule nick yupo ma juu sasa huyu Tanzania anafanya ujinga kama ule
 
Free Masson at works huenda yale ya kukaa uchi na mashariti ya lusifa jamani" ili azidi kuwa star Satanism at work bila shaka
 
Mi naona mnajisumbua tuu mara oohoo Basata waifungie basata waifungie...HAWAEZI KUIFUNGIAAAA!!! kwanza nyimbo itapigwa kwenye TV station za kimataifa na pia sioni kasoro yoyote ,kichupi amevaa yupo kwenye swimming pool ni sehemu husika kabisa,sasa nyie mlitaka kwenye swimming pool avae suti???!!!...video ingeonyesha yupo mitaani anapita au anacheza cheza na kichupi hapo labda kungekuwa na walakini..ila kwa mtazamo wangu sioni kosa la kufungia video iyo...tena ndo imeongeza ashki ya kutazamwa....
 

Kwaiyo mkuu kwa hoja yako hata vanessa angeonyesha yupo chumbani anafanya mapenzi au yuko uchi angekuwa sawa tu maana yupo katika eneo sahihi, ungesema yaani mtu yupo chumbani unataka ajifunike funike
 
brave one you have very stupid defence of ur ideas.
 
Last edited by a moderator:
Kwaiyo mkuu kwa hoja yako hata vanessa angeonyesha yupo chumbani anafanya mapenzi au yuko uchi angekuwa sawa tu maana yupo katika eneo sahihi, ungesema yaani mtu yupo chumbani unataka ajifunike funike
Mkuu umemjibu vyema sana kwanza chupi si vazi pekee la eneo lile tumeshaona video nyingi za maeneo kama hayo na watu hawajavaa kama Vannesa.....! Alafu hata ile video ya jux iliyo fungiwa yule binti alikuwa chumbani kama hoja ni kuwa sehemu sahii...!Tatizo hapa jambo hili kuoneshwa kwa public..
 
Kwa hiyo unajaribu kusema kuwa hata akionesha anafanya mapenzi chumbani itakuwa sawa kwakuwa chumbani ni mahala sahihi pa kufanyia mapenzi au akituonesha video anaoga akiwa uchi itakuwa sawa kwakuwa kaogea bafuni? Teh Teh...
 
yeye mwenyewe anaona kawaida. nakumbuka alivaa gauni fulani kila akicheza linashuka akawa anafanya kazi ya kulipandisha. ana matatizo huyu
 
Kwa hiyo unajaribu kusema kuwa hata akionesha anafanya mapenzi chumbani itakuwa sawa kwakuwa chumbani ni mahala sahihi pa kufanyia mapenzi au akituonesha video anaoga akiwa uchi itakuwa sawa kwakuwa kaogea bafuni? Teh Teh...

Hahaha jamaa anasahau hii video inaenda kuonekana kwa watu wa rika tofauti, halafu huwa sielewi mentality za wanawake yaani miili yao wanaona kama bidhaa
 
Soon and very soon u will see vee money with big bigger moneeyy and fame from ths video. Ni mkwe wenu huyo atiawaonee haya. ?? Unafik mtupu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…