VAR yaibiwa Nigeria baada ya mechi ya kufuzu World Cup 2022

VAR yaibiwa Nigeria baada ya mechi ya kufuzu World Cup 2022

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
FIFA-VAR-stolen-during-riot-1068x601.jpg



Imeripotiwa kuwa mashine maalum ya VAR (Video Assistant Referee) iliyokuwa imewekwa Abuja Nigeria kwa ajili ya kusaidia waamuzi wa mchezo wa play off wa kufuzu Kombe la Dunia 2022 kati ya wenyeji Nigeria dhidi ya Ghana imeibiwa uwanjani hapo.

Mchezo huo ulimalizika kwa sare bao 1-1 ambapo faida ya bao la ugenini likaipa nafasi Ghana kufuzu. Vurugu ziliibuka kwa mashabiki wa Nigeria kuingia uwanjani baada ya matokeo kutokuwa rafiki.

Mapema leo Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limetangaza kuufungia uwanja huo wa MKO Abiola uliopo Abuja kutokuchezwa kwa michuano/mechi za kimataifa.



Source: Ghpage
 
Hii muhuni utakuta kaipeleka ghetto kwake

Wapopo noma
 
Back
Top Bottom