Vasectomy ni oparesheni ndogo inayofanywa kwa mwanaume kama njia ya kupanga uzazi. Mshipa maalum(vasa deferentia) wa kusafirisha mbegu za kiume(sperms) kutoka kwenye pumbu hukatwa na kufungwa.
Kwa hiyo mbegu zinazalishwa, lakini hazitoki. Utafiti uliofanywa Marekani umethibitisha kuwa wanaume waliohanithiwa kwa njia hii wako kwenye hatari kubwa zaidi kupata saratani ya pumbu(testicular cancer)
Ni hatari mbegu za kiume(sperms) zikizalishwa zinatakiwa zitoke.
Kwa hiyo mbegu zinazalishwa, lakini hazitoki. Utafiti uliofanywa Marekani umethibitisha kuwa wanaume waliohanithiwa kwa njia hii wako kwenye hatari kubwa zaidi kupata saratani ya pumbu(testicular cancer)
Ni hatari mbegu za kiume(sperms) zikizalishwa zinatakiwa zitoke.