Nimeona press release ya Kenya Revenue Authority (TRA ya kenya) kuhusu kucharge VAT kwenye bidhaa za mafuta.
Wachumi, wataalam wa biashara hili suala lina effect ipi kwenye uchumi?
Je tunaweza kuadopt hapa kwetu Tanzania.
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachumi, wataalam wa biashara hili suala lina effect ipi kwenye uchumi?
Je tunaweza kuadopt hapa kwetu Tanzania.
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app