Nimeona press release ya Kenya Revenue Authority (TRA ya kenya) kuhusu kucharge VAT kwenye bidhaa za mafuta.
Wachumi, wataalam wa biashara hili suala lina effect ipi kwenye uchumi?
Je tunaweza kuadopt hapa kwetu Tanzania.
Karibuni
Mafuta ndio yanaendesha uchumi wa nchi, kuyawekea VAT tena ni kudidimiza uchumi kwa kuwapa wananchi maisha magumu zaidi.
Maana ukiweka VAT automatically mafuta yatapanda, na yakishapanda wote tunajua nini kitafuata.