Vatican inamiliki dunia

Acha kudanganywa na Mitandao ya Kijamii kisha na ww kuwa Mwalim wa Waongo

Unaposema,
Nimegundua!!!!
Ni kipi hasa umegundua...!!!!
Muhimu tu
Acha uongo Chief
 
Ujinga ujinga tu!!!!
 
Acha kudanganywa na Mitandao ya Kijamii kisha na ww kuwa Mwalim wa Waongo

Unaposema,
Nimegundua!!!!
Ni kipi hasa umegundua...!!!!
Muhimu tu
Acha uongo Chief
Wewe ni mshamba tuu
 
Acha kudanganywa na Mitandao ya Kijamii kisha na ww kuwa Mwalim wa Waongo

Unaposema,
Nimegundua!!!!
Ni kipi hasa umegundua...!!!!
Muhimu tu
Acha uongo Chief
Mtazamo wako tuu ila ukweli unauma ndo maana
 
Mtazamo wako tuu Ila ukweli unauma haha
Ukweli gani sasa uliopo hapo. Yaani nyie kujua intanet kumewachanganya sana kiasi kwamba kila information unayoikuta mtandaoni basi unajua ni ya ukweli.

Nlitegemea utaleta source kama vle vitabu vilivyoandikwa na ma proffessionals wa history lkn unatuletea contents za mtandaoni ambazo haujui hata nani kaziandika wala huyo alieziandika ana profession gn ktk history.

Ngoja Nikupuuze tu.

Case closed.
 
Ushamba Umekumeza umejifunza wapi reference ni vitabu tuu? huu ni ushamba wakutupa hujawahi ona vitabu vina reference za wikipedia? haha ....... ujawahi on TBC wana reference za ALjazeera? au Africa news wanatoa reference za Reuteres?? Acha Ushamba na uzandiki nime ku Under Rate
 
Alie kwambia mm mkristo nan?
Wewe ni mdini sana onaa hii uliyo post Roman Catholic ni wapagani 100% hivyo usishangae kuona wanapinga Biblia kwani Biblia yenyewe huwaita Nyoka,wapinga kristo Inaonyesha wewe mmbeya naa mdini tu
 
Wewe ni mdini sana onaa hii uliyo post Roman Catholic ni wapagani 100% hivyo usishangae kuona wanapinga Biblia kwani Biblia yenyewe huwaita Nyoka,wapinga kristo Inaonyesha wewe mmbeya naa mdini tu
Ndio mm ni mdini na niko tayari kufa kwa ajili ya hiyo
 
Mkuu hapa navuta picture kidogo kwenye movie ya Robbin hood ahsante kwa kutujaza bongo kichwani[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…