Vatican inamiliki dunia

Hara Mimi nakupuuzia Kama ubobgo walk unasema data na source za info in vitabu to pole
 
Acha kudanganywa na Mitandao ya Kijamii kisha na ww kuwa Mwalim wa Waongo

Unaposema,
Nimegundua!!!!
Ni kipi hasa umegundua...!!!!
Muhimu tu
Acha uongo Chief
.
Muslim wamekurushia Mapepo??????
 
kuwa Mwalim wa Waongo

Unaposema,
Acha uongo Chief
[/QUOTE]
Unachekesha Mtemi
 
noma
 
Hapana, Ila nifanulie vizuri maana karibu maraisi na viongozi wakubwa wa mataifa lazima waendi Vatican kwa Papa mfano kila raisi wa marekani lazima aende Vatican na Israel
maraisi wanaendaga kupata baraka sio ujasusi
 
Kanisa, kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, ni Mwili wa Kristu [Wakolosai 1:24], na ndio waamini. Kristu mwenyewe ni kichwa cha kanisa [Wakolosai 1:18]. Katika kanisa kuna Kristu na kuna waamini, wanadamu. Kristu hana dhambi, mtakatifu. Wanadamu ni wadhambi. Hivyo daima kanisa ni Takatifu, kwa sababu ya Kristu Yesu, na daima kanisa ni lenye dhambi, sababu ya wanadamu.

Ukijua na kuzingatia hayo, wala madhambi na machafu ya binadamu wanaoongoza kanisa hayatakushangaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…