Mimi huwa simwelewi na 'twende kilioni' yake! Anyway, we should see how efficient she is
mbona mie sioni?
Mnamwonea bure mama wa watu mwacheni afanye kazi...tukianza kujadili amevaa nini Twiga stars haifiki popote.
Binafsi sioni tatizo kabisa kwenye vazi lake zaizi ya watu kutafuta sababu ya kumjadili,
mawaziri kioo cha jamii wanavaa vizuri lakini baadhi yao ndo watuhumiwa wakuu wa ufisadi....sasa hapo ndo penye issue sio vazi alilovaa
hicho kijambakoti cha nini?
Hana watoto wa kumshauri avaeje?
Mama mtamuuuuuuuuu.........
Niliona hii picha Michuzi nikawa nashangaa; nakuja JF kumbe kuna mkereketwa aliyeliona hilo. Suala si pichu kuonekana ila ni mchanganyiko mzima wa mavazi including kijamba koti. Lol. Sijuhi ubaili au nini? Kuna waziri mwingine wa kiume niliona picha yake amepiga na JK ughaibuni kavaa koti la winter limakaa upande mmoja juu mwingine chini; yani wakienda nje wanapewa outfit allowance afu wanaenda kununua makoti ya open market.Lol.
Yaani waziri unavaa kitoto mpaka pindo za chupi na mahaga yanaonekana mbele ya hadhira kweli!!!
Sasa hapo vijana wetu wanajifunza nini na tunapata tafsiri gani hapo? Jamani nimesikitishwa sana na vazi la waziri na ameniharibia siku yangu waziri anapaswa kuwa kioo cha jamii mambo ya fashion, kuuza sura hayatakiwi kwa kioongozi wa serikali mzito kama wewe uliye pewa dhamana na rais.
Mkuu mie naipenda sana hii twende kilioni yake, hayo ya vazi lake nadhani pengine msaidizi wake alisahau kumwambia