VC UDSM na DVC(PFA) mnajua kuwa Watumishi wenu hawajawalipwa malipo yaliyo nje ya mshahara karibia mwaka sasa.

VC UDSM na DVC(PFA) mnajua kuwa Watumishi wenu hawajawalipwa malipo yaliyo nje ya mshahara karibia mwaka sasa.

Mshahara

Member
Joined
May 23, 2018
Posts
21
Reaction score
15
VC na DVC(PFA) UDSM mnajua kuwa Watumishi wenu hawajalipwa malipo yaliyo nje ya mshahara wa serikali karibia mwaka sasa.

Je nini kimesababisha malipo kama Incentive, Airtime, Transport, Nyumba n.k kusimama na kusababisha wafanyakazi wa UDSM kuishi kinyonge sana?

Hamlipi Watumishi waliochini yenu ila mnajipendelea wenyewe.

Kama pesa hakuna zimeenda wapi?

Mbaya zaidi hakuna taarifa kwa wahusika.
 
VC na DVC(PFA) UDSM mnajua kuwa Watumishi wenu hawajalipwa malipo yaliyo nje ya mshahara wa serikali karibia mwaka sasa.

Je nini kimesababisha malipo kama Incentive, Airtime, Transport, Nyumba n.k kusimama na kusababisha wafanyakazi wa UDSM kuishi kinyonge sana?

Hamlipi Watumishi waliochini yenu ila mnajipendelea wenyewe.

Kama pesa hakuna zimeenda wapi?

Mbaya zaidi hakuna taarifa kwa wahusika.
Haribu kutaf watu ufike mbali,
 
UDSM hali imeyumba sio kwa watumishi tu. Hata wazabuni hali ni tete. Hawana pesa kabisa.
 
Hali ya kutokulipwa watumishi ni kila mahali,kuna watu hatujalipwa pesa ya likizo mwezi Juni hadi leo na hakuna kinachoendelea na unaambiwa pesa ilishatolewa
 
Zamani nilitaka kuhamia UDSM, process zote zilikamilika , hatua ya mwisho nikasikia uzito. Nikaacha kufuatilia.
UDSM nasikia kugumu sana siku hizi
 
Sio malipo ya lazima.Taasisi inaweza yafuta.
 
VC na DVC(PFA) UDSM mnajua kuwa Watumishi wenu hawajalipwa malipo yaliyo nje ya mshahara wa serikali karibia mwaka sasa.

Je nini kimesababisha malipo kama Incentive, Airtime, Transport, Nyumba n.k kusimama na kusababisha wafanyakazi wa UDSM kuishi kinyonge sana?

Hamlipi Watumishi waliochini yenu ila mnajipendelea wenyewe.

Kama pesa hakuna zimeenda wapi?

Mbaya zaidi hakuna taarifa kwa wahusika.
Sisi tunawaona huko UDSM mnafaidi maisha katika sekta ya elimu tofauti na walimu wa shule ya msingi. Kwahiyo ni TRA ndio wanakula maisha peke yao?
 
Back
Top Bottom