Duh!!!,alifiwa na mkewe wa kwanza au ndo anaoa kwa Mara ya kwanza???.
Sent using Jamii Forums mobile app
alioa ila wakaachana. Long storyDuh!!!,alifiwa na mkewe wa kwanza au ndo anaoa kwa Mara ya kwanza???.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaoa kweli ila kazi haiwezi, inabidi atafute kijana awe anamsaidia kupiga nyungu
Aisee, hebu fafanua ukweli wa hili. Ulishawahi kumpatia chezo akachemsha? Dunia ina mambo.Kaoa kweli ila kazi haiwezi, inabidi atafute kijana awe anamsaidia kupiga nyungu
π€£π€£ππ
Mkuu umenielewa tofauti mkuuAisee, hebu fafanua ukweli wa hili. Ulishawahi kumpatia chezo akachemsha? Dunia ina mambo.
Dah mkuu umenikosea adabu kabisa yaani na urijali huu nimpe nyungu mwanaume mwenzangu tena mzee tena anayeishi dar!Aisee, hebu fafanua ukweli wa hili. Ulishawahi kumpatia chezo akachemsha? Dunia ina mambo.
Aisee,mambo ya wakubwa hayo,anaoa,anaacha halafu analeta chombo kikali zaidi.alioa ila wakaachana. Long story
Pole sana Mkuu, nisaheme bure. Hebu sasa ONDOA SINTOFAHAMU hiyo, kuhusiana na kutoiweza kwake kazi ulikosema. Maneno tata hayo Mkuu wa Kikosi.Dah mkuu umenikosea adabu kabisa yaani na urijali huu nimpe nyungu mwanaume mwenzangu tena mzee tena anayeishi dar!
Kama wewe mwanaume basi utakuwa mdogo wake RukoleKaoa kweli ila kazi haiwezi, inabidi atafute kijana awe anamsaidia kupiga nyungu
Haaa haaa haaa, haya shosti ake nimekuelewa. Karibu chamani