VC wa UDSM, Prof. Anangisye ameachana na ukapera

Harusi simple tu.. jumatatu.. waalikwa 10 tu... corona imepunguza mbwembwe za wanawake kumpenda sherehe kubwa
 
Dah mkuu umenikosea adabu kabisa yaani na urijali huu nimpe nyungu mwanaume mwenzangu tena mzee tena anayeishi dar!
Pole sana Mkuu, nisaheme bure. Hebu sasa ONDOA SINTOFAHAMU hiyo, kuhusiana na kutoiweza kwake kazi ulikosema. Maneno tata hayo Mkuu wa Kikosi.
 
Nadhani kaoa mtu wa kumsaidia kupika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…