henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,117
Wow cograts, Twenty Employees..VEGETA SEASONING kutoka Croatia wamefungua kiwanda chao nchini Tz ambacha kitasambaza bidhaa nchi zote za africa
Podravka opens plant in Tanzania
Viungokiwanda cha nini kabla sijafungua link yako?...
viungo vya binadamu au viungo vya mboga!? mbona habari shallowViungo
HANA AKILI HUYOHabari kama hizi zikitangazwa Kenya kuna yule jamaa anaitwa Mwanzi1 huja na kauli za eti kwanini turuhusu makampuni ya nje kuja kufungua makampuni wakati wazawa wapo, eti kwamba hao watafyonza nchi na kwenda zao.
π± ati 4m na employment ya 20peopleππππππππ,mibongo ni vituko.
Habari kama hizi zikitangazwa Kenya kuna yule jamaa anaitwa Mwanzi1 huja na kauli za eti kwanini turuhusu makampuni ya nje kuja kufungua makampuni wakati wazawa wapo, eti kwamba hao watafyonza nchi na kwenda zao.
Nasisitiza tena sio kila kitu lazima mgonje wazungu wawaletee mikononi mwenu mkifikiri eti wanakuja kuendeleza uchumi wenu. Hakuna mtu mwenye uchungu na uchumi wako kama wewe mwenyewe. Usipo jijenga mwenyewe kwanza, usishangae wageni wakija kujitajirisha kwa mgongo wako.(kama Kenya mlivyojazana Tanzania). Anaetaka kuja kufunguwa biashara ruksa aje, lakini lazima akutane wazalendo ambao na wao wanauwezo wa kufanya kama hicho mgeni anafanya. Ndio philosophy ya JPM na inakwenda vizuri tu japo Wakenya mnaichukia.HANA AKILI HUYO
Nasisitiza tena sio kila kitu lazima mgonje wazungu wawaletee mikononi mwenu mkifikiri eti wanakuja kuendeleza uchumi wenu. Hakuna mtu mwenye uchungu na uchumi wako kama wewe mwenyewe. Usipo jijenga mwenyewe kwanza, usishangae wageni wakija kujitajirisha kwa mgongo wako.(kama Kenya mlivyojazana Tanzania). Anaetaka kuja kufunguwa biashara ruksa aje, lakini lazima akutane wazalendo ambao na wao wanauwezo wa kufanya kama hicho mgeni anafanya. Ndio philosophy ya JPM na inakwenda vizuri tu japo Wakenya mnaichukia.
FDI sio hizi za pesa mbili, ukiniambua FDI za kuchimba mafuta au gesi au kujenga dam ya umeme kitu ambacho hela ya local haitoshi nitakuelwa. Lakini FDI sijuwi ya kiwanda cha pipi au google kafunguwa ofisi, mara sijuwi Uber kaleta hiki.... ni jambo la kuchekwa sana maana hata wewe ukienda KCB with forward looking business plan watakuelewa na kukukopesha. Cha kushangaza hamjiulizi hao wazungu nani aliwawezesha kufika hapo walipo fika sasa kama sio jitihada zao wenyewe? Badala ya kutumia akili za hapa Afrika mnataka kucopy kila kitu.Hamnaa, FDI za MNC zikija kweu unashabikia, lakini kwa jirani unaanza kuandika riwaya za alfu ulela, sisi tutaendelea kuongoza maana tumewekeza kwenye favorable conditions na pia nguvu kazi ambayo haiwapi tabu MNC.