Venezuela ICT Team ndio wanachagua Rais wa Kenya

Venezuela ICT Team ndio wanachagua Rais wa Kenya

Airfryer

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
430
Reaction score
1,039
Nchi ya Kenya ndio wamevunja rekodi Afrika wanaibiwa kura za uchaguzi na mtu toka Venezuela

Waafrika tulizoea kuibiana sisi kwa sisi, Hawa Kenya mkoloni bado hajaondoka Kenya, Wavenezuela tena hawafiki kumi ndio wanaamua nani awe Rais wa kenya

Uchaguzi wa Kenya haina maana kabisa, Foreigners wa kivenezuela wanaingia kwenye system mpaka siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi bado wana access system

Matokeo ya Rais yanatangazwa wakati baadhi ya majimbo watu hawajui matokeo tena zaidi ya majimbo ishirini na saba, Huu ni ujinga uliopitiliza

Fomu original inayopigiwa kelele mtandaoni bado inatarehe ambayo sio siku ya uchaguzi wa kenya yaani ni forgery mpaka original document
Makarani saini zao na tarehe sio siku ya uchaguzi

Vituko zaidi nchi imeingia mkataba wao wenyewe hawawezi kuona baadhi ya vitu mpaka kibali toka kwa waliowauzia system, Usalama upo wapi wa nchi

Yaani wakenya Mahakama ya upeo inataka data za IEBC system wanaandikiwa barua na Wazungu haiwezekani, Huu ni ujinga na sio uchaguzi
 
Sasa kwanini Katiba mpya haijazuia wizi ?
Mkuu pale Kenya wana katiba nzuri sana isipokuwa ukabila unawasumbua, Watu wa IEBC walikuwa wanataka kumbeba mkabila mwenzao Ruto mkalenjini, Wakalenjin na wakikuyu ni wale wale wanajifanya waliipigania Kenya enzi hizo

Kinachotakiwa waangalie jinsi ya kuwaadhibu maafisa wa IEBC kwa katiba yao ili iwe fundisho

Wamekula mlungula na Rushwa za kutosha huyo Chebukati

Ruto alisema uchaguzi wa kenya the Hero is Mr Wafula Chebukati live siku hiyo hiyo ya matokeo pale Bomas
 
Nchi ya Kenya ndio wamevunja rekodi Afrika wanaibiwa kura za uchaguzi na mtu toka Venezuela

Waafrika tulizoea kuibiana sisi kwa sisi, Hawa Kenya mkoloni bado hajaondoka Kenya, Wavenezuela tena hawafiki kumi ndio wanaamua nani awe Rais wa kenya

Uchaguzi wa Kenya haina maana kabisa, Foreigners wa kivenezuela wanaingia kwenye system mpaka siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi bado wana access system

Matokeo ya Rais yanatangazwa wakati baadhi ya majimbo watu hawajui matokeo tena zaidi ya majimbo ishirini na saba, Huu ni ujinga uliopitiliza

Fomu original inayopigiwa kelele mtandaoni bado inatarehe ambayo sio siku ya uchaguzi wa kenya yaani ni forgery mpaka original document
Makarani saini zao na tarehe sio siku ya uchaguzi

Vituko zaidi nchi imeingia mkataba wao wenyewe hawawezi kuona baadhi ya vitu mpaka kibali toka kwa waliowauzia system, Usalama upo wapi wa nchi

Yaani wakenya Mahakama ya upeo inataka data za IEBC system wanaandikiwa barua haiwezekani, Huu ni ujinga na sio uchaguzi
Vituko zaidi nchi imeingia mkataba wao wenyewe hawawezi kuona baadhi ya vitu mpaka kibali toka kwa waliowauzia system, Usalama upo wapi wa nchi[emoji23]
 
IMG_9343.jpg

huyu hapa jamaa
 
Back
Top Bottom