Vengu anaumwa nini?

Yupo muhimbili hospital.. Ukifika hapo utajua yupo ward gani!..
 
Kwa tusiomjua,tuwekeeni walau picha yake basi na wasifu wake kidogo.
Upone haraka bro
 
Mwenyezi mungu ampe nafuu apone haraka!
 
mungu ampe nguvu,,,,tumemmic sana jamaa....get wel soon bro!!!!
Kweli jamaa anaumwa sana, sidhani kama ni ajali. Tulisikia kuwa anasumbuliwa na kisukari. Hakujua historia ya ugonjwa inavyosemekana mpaka hali ikafikia ilipo. Mungu atampa nguvu na atarejea katika maisha yake ya kawaida.
 
hivi bado anaumwa ?? maana simwonagi tena kwenye kipindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…