Vera Sidika aelezea siri ya mahusiano yake na kaka wa kinaija

brenda18

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
5,687
Reaction score
5,287



Katika hali ya kushangaza leo mwanadada huyu mrembo ameamua kuweka hadharani hali halisi aliyokuwa nayo katika mahusiano na mniger Yommy kutoka Dubai. Mahusiano yalikuwa ya vipigo, mwanaume hakuwahi kumuhudumia, etc mambo yote kaweka na ushahidi kitu kilichoshangaza watu huko Instagram

My take:
Kumbe hawa warembo maarufu na wao huwa wanaumizwa na kuwa kwenye mahusiano yenye mateso kama sisi wa uswekeni hata average Joe's wanaweza kuwapata hawa wadada nilijua wana hang out na madangote ya ukweli, mwanamke mtafutaji, mrembo etc unawezaje kusumbuliwa na marios, khee!!
 
Vera sindika ndio nani???
Vera sidika buana. Wasiliana na mods warekebishe hiyo heading or else jf hii ninayoijua mimi... Itakuwa vituko tupu.

BTW kumbe alikuwa Na kung'utwa, but she is ass boss b*tch sijui kama ana kazi nyingine
 
Ayo Mambo Ya Vijana Wa DSM Ngoja Waje

Waiter Zungusha Tena[emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482]
 
Ona wadada wanaojitambua hao, wanatumia papuchi na misambwanda kumake maisha, ila akina gigy na the likes wao wanatumia kununulia Hennessy na kuyabinua vilabuni.

Asee afu unakuta huyu mdada hata sio fundi kama wale madada zetu wa uswekeni.
 
Vera sindika ndio nani???
Vera sidika buana. Wasiliana na mods warekebishe hiyo heading or else jf hii ninayoijua mimi... Itakuwa vituko tupu.

BTW kumbe alikuwa Na kung'utwa, but she is ass boss b*tch sijui kama ana kazi nyingine
typing error hio wataelewa tu

alikuwa anakula kichapo ila anavumilia
 
Ona wadada wanaojitambua hao, wanatumia papuchi na misambwanda kumake maisha, ila akina gigy na the likes wao wanatumia kununulia Hennessy na kuyabinua vilabuni.

Asee afu unakuta huyu mdada hata sio fundi kama wale madada zetu wa uswekeni.
na kweli kwa bongo sijaona mwenye maendeleo kama vera, angalau tunaona matunda ya udangaji wake sio hawa wa kwetu huku
 
Mapenzi hayana mizani wa kuwa wewe ni wa huko ulikotaja na yeye wa alipo.
 
Huyo jamaa wenyewe kisuruali kimembana kama wale wacheza kiduku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…