sirudi tena hapa
....Mjini kuore leri aise!
halafu unajua unadistab brain yangu lakini
sawa nitafanya hivyo.
asante kwa ushauri
Tulia hapa shem, unakwenda wapi?
lugha za mbokom zimenishinda ntakuwa sitembelei ndugu kma mambo yenyewe ndo hayo mmh
unaondoka bila kuaga?