bado kalala aiseee
utani ni part ya maisha yetu na kiwatengu licha ya kuwa wapenzi nje ya jf love him sana
:yell: kweli kweli atiiiii
Nakaribia kuleta tangazo la nafasi ya ndoa eda inaelekea kunishinda. Baba V popote ulipo iwe jela au uraiani nipe mwongozo. Angalizo nataka mume wa mtu au wa watu.
Don't tel me ni wapenzi ki kwelikweliiiiii😡!!!! Hongereni sana
jamani ntaumiza mtu naomba mnishike, tusiingiliane mambo nnayompa mume wangu hamyajui,amejisikia tu kukuchokoza pumziko lake ni kwangu kwanza akijaribu kuiba tu anajua atachokipata
haswaa wala hujakosea twapendana sana
hongereni sana
Nakaribia kuleta tangazo la nafasi ya ndoa eda inaelekea kunishinda. Baba V popote ulipo iwe jela au uraiani nipe mwongozo. Angalizo nataka mume wa mtu au wa watu.
asante mke..wamgu wa ukweeli