very atractive guy

Al_morinaga

Member
Joined
Mar 17, 2012
Posts
38
Reaction score
2
Av got wat ur heart need bt not money....interested?
email me sashkisula@gmail.com
0762052850
 
Mami NN, halafu unaona kilivyo kidogo? Du....

Hiki huko kwetu unajua inabidi kifanywe nini ili kisiharibu damu ya NGOSHA wa ukweli.

Kakipewa kujenga zizi, ndiyo kabisa. Kataleta MASANZU kama fagio la akina mama, hahahaaa....

Hata Mwana Mayu akikahurumia akape, Mwana Mayu akikohoa tu, kanakuwa EJECTED.
 
mbona hovyo tu? huna hata swagger..una uatractive gani? kama mlinzi wetu...wengine hatupendi show off tungeamua kujianika humu..pangechimbika..haya wapiiii Jane_00
 
mbona hovyo tu? huna hata swagger..una uatractive gani? kamamlinzi wetu...wengine hatupendi show off tungeamua kujianikahumu..pangechimbika..haya wapiiii Jane_00
LABDA ANATAFUTA MABASHA:nono:
 
LABDA ANATAFUTA MABASHA:nono:

ha ha na kweli maana kule facebook kuna vitoto kamahivi vinasumbua sana ooh mara you are cute mara nini ..sasa uskute haka kamoja wapo ngoja aje bofloo...
 
jamani mwacheni dogo amekurupuka alijua yupo kule love-connect akitafuta watoto wenzie wakacheze kidali-pooh...ila dogo "KALIPUKA" mpaka kaamua kuzitumbukiza photo zake JF mujue alijipanga...full kuvunja kabati na kutupia swagga za lolo-wizzey wa manerumango..ahahaha
 
jamani zipitieni fresh picha za "dogo"...nimeona kitu flani hivi ...huyu sio bwana mdogo sema ndio zile mbegu za kalahari desert kwa kina bushman...zimekomaa ila kimwili kidogo type za kina thabo mbeki...unaweza kuhisi ni kitoto ila receprion imekomaa likely kanaweza kuwa above 40yrs hivi...."kanacho wat yua hati wantsi bati not manii"
 
Mungu naomba uwanusuru hawa wadogo zetu.
Wwe
mdogo wangu mpendwa ebu kuwa specific uko attractive sehemu gani ya mwili wako?
 

teh teh teh MOTHERFUCNTER!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…