Very soon, Tanzania is going to face political instability and great transformation

Hyo siku yaja. Wakaiba uchaguzi wamekalia viti wakijineemesha kweli kweli huku maisha ya wananchi yakiwa hoi taabani. Juu ya yote ajira,zikiwa hamna na wale waliokula mema ya nchi wakirudshwa kwenye vyeo. Wasomi wakijibiwa wajiajili huku watawala wakiwapa kazi watoto wao na jamaa zao.
Huku mitaani wakiongeza kodi za bidhaa ama tozo hali vipato vya wananchi vikinyong,onyeaa chini kabsaaa. Hali si hali, Hakika siku yaja, siku hyoo ardhi itawapasukia waingie ndani but hawatakua na nguvu za kipenya nyufa wajifiche. Nyakati zao zaja!!
 
Ni hayo hayo yatatufanya tuandamane. Unapochokoza mara ya kwanza unaweza kusamehewa, mara ya pili pia au hata ya tatu na nne, lakini mtu akishachoka basi atafanya chochote tu. Nakubali kwamba watanzania wanaweza kuchoka na kufanya maajabu na huo ukawa ndio mwanzo wa watu kuheshimiana nchi hii. Mara nyingi watu huheshimiana baada ya tifu.
 
Wanalijua hilo fika na ili kuwa Pro-active ama kuokoa jambo hilo wanaona threat ni CDM, sasa mpango ni kumfunga Mbowe na kuifuta CDM hii itakuwa ndiyo dawa ya kudumu.

Sasa hatujui if this will work out.
 
Sio kwamba nasapoti serikali au kwamba naridhishwa na hali ilivyo, LAKINI KWA WATZ WALIVYO WAOGA, TUSAHAU KUHUSU HILO ANALOSEMA MLETA UZI
 
Wabongo tu waoga kinyama, tunasubiri Roma au Ney wa mitego waimbe wimbo wa kiharakati ndo tuanze kusema AISEE JAMAA KAWACHANA KINOMA!!!
 
Mkuu umenana vyema, ngoja machokoraa ya UVCCM yatakavyokuja mbio humu kukushambulia
 
ukapige mswaki sasa
 
Wananchi hao waliochoka walikuwa wapi miaka yote? Au unazungumzia Tanzania ya ndotoni?
Mkuu angalia Eswatin utawala wa kifalme ulikuwa hauguswi wala kuhojiwa kwa miaka mingi.Leo hii maandamano ni makubwa hadi watawala hawaamini kinachotokea.

Unajua kama SADC wanatuma ujumbe wao nchini Eswatin kuzungumzia hali ya mambo?
 
Waoga huwa hawaandamani Wala kusema. Siku ikifika wao hufanya tu.
 
Mleta uzi anajipa matumaini hewa tu
 
Mua
Wewe bwege,ulijua kuwa Magufuli hatafika 2025? Kama hukujua hilo,na mengine huyajui,sasa kaa kimya mtoto wa kenge wewe
Muache kuota nakujazana maujinga hapo ufipa we mbwiga.
Tanzania ipo salama na itabiki kuwa salama Fisi maji nyie.
Only thing that you are capable with,is to hold a press conference everyday.
 
Mkuu angalia Eswatin utawala wa kifalme ulikuwa hauguswi wala kuhojiwa kwa miaka mingi.Leo hii maandamano ni makubwa hadi watawala hawaamini kinachotokea.

Unajua kama SADC wanatuma ujumbe wao nchini Eswatin kuzungumzia hali ya mambo?
Mkuu nikuhakikishie tu kwamba Watanzania wamelala usingizi wa pono. Wao hawaelewi chochote zaidi ya amani hata ikiwa watakanyagwa na kupondwapondwa kichwani wao kwao ni hewalla tu. Labda unazungumzia Watanzania wa Kusadikika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…