Veta interview through delotte

ngelemakumulu

Member
Joined
Oct 22, 2011
Posts
17
Reaction score
2
waliokuwa interviewed na deloitte vipi veta wameshaita?
Mwanzoni kupitia jukwaa hili kuna mdau alisema wameambiwa labda february kwa sababu serikali haina fedha.kuna mdau yeyote mwenye taarifa zao?tafadhali mtujuze.
 
Unaweza kuta watu walishafanya kazi kitambo..hii ndo bongo darisalaama
 
waliokuwa interviewed na deloitte vipi veta wameshaita?
Mwanzoni kupitia jukwaa hili kuna mdau alisema wameambiwa labda february kwa sababu serikali haina fedha.kuna mdau yeyote mwenye taarifa zao?tafadhali mtujuze.

Washaita second interview mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…